Bakwata yamruka Shehe Alhad, yamtetea Kinana
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limekanusha kauli ya Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ya kukosoa utaratibu wa kazi za Chama Cha Mapinduzi CCM), unaofanywa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Tucta yamruka Mweta wa Kilimanjaro
>Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) limeeleza kusikitishwa na utata wa wanawake wawili wenye majina yanayofanana kuwasili katika Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodima kwa nafasi ya ujumbe wa Bunge hilo kilisema halimfahamu Amina Mweta wa Kilimanjaro.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/z8erNS4rNio/default.jpg)
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Chelsea yamtetea Mourinho licha ya masaibu
Chelsea imesema inamuunga mkono meneja Jose Mourinho licha ya kukumbana na mwanzo mbaya zaidi wa ligi tangu 1978-79.
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Ufisadi:FIFA yamtetea Jerome Valcke
Shirikisho la kandanda duniani,FIFA, limekanusha madai kwamba katibu wao mkuu,Jerome Valcke,alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.
10 years ago
GPLKAMATI YA TANZANIA KWANZA YAMTETEA MUHONGO, YASEMA NI MHANGA WA MAJUNGU
Mwenyekiti wa Kamati ya Tanzania Kwanza Nje ya Bunge Maalum la Katiba, Oscar Matefu, akitoa ufafanuzi baada ya kuulizwa swali na wanahabari. …Akifafanua jambo kwenye hafla…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURR2sUnoprzWHuguTyqzLnR3EqJXrllHufaRyNqc*UH9B8gk1ZtfscSTmhPTLCR0atX26uREOFDPIzT8JkK-1cRF/STARA.jpg?width=650)
SHEHE AMUONYA WASTARA
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. MWANDISHI WETU KUTOKANA na matukio mabaya yanayomtokea staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, shehe aliyejulikana kwa jina la Shaban Ally wa jijini Dar, ameibuka na kumuonya mwigizaji huyo kwamba kama anataka ‘mabalaa’ yasizidi kumuandama basi arejee kwa Mungu wake kwani anaonekana amemuacha. Shehe huyo alifikia hatua hiyo kutokana na Wastara kuandamwa na ajali za mara kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632oi16Yycw-G64CD8PUaPRtTs067oiOKFllZ-FZ7sjQKv2G0*sGqsMOVmRyHpz9gI8LTaAsQDC7RnZNZT9qx2-SB/shehe.jpg?width=650)
SHEHE AKERWA NA SWAUMU...
stori: Chande Abdallah na eogratius Mongela SHEHE Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameonesha kukerwa kwake na mastaa wa Bongo ambao ni Waislam na wanaishi na wenza wao bila ndoa, hasa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum. Akizungumza na mwandishi wetu juzi, Shehe Alhad alisema kwa mujibu wa imani ya Dini ya Kiislam, Muislam hupaswa kufunga mwezi mtukufu kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-F2O5NppnX*rD-*SuTbIBsVXibdKaq8GD2R3NpNm*J24I1P2*yZxPpazFh2keT7n-suLYZY3mb5dIburzcwXzuU/kkjkjk.jpg?width=650)
SHEHE AMUONYA SHILOLE
Mayasa Mariwata
Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salim, amemjia juu staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby baada ya kutangaza kuwa anasali swala tano, kauli ambayo inalenga kudhalilisha Uislam kutokana na skendo zake hasa kukaa mtupu, jambo ambalo ni kukiuka maadili ya binti wa Kiislam. Staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby. Hivi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVIQt2b0o1bDYqDq0AzXg9BoDHbhZ59*G4ewOYi0hLfOl0-F4dHWrusD4gWEeXbgS4OPq0HxsXDTBvIZa6RU2y*J/FRONTAMANI.jpg)
SHEHE PONDA BALAA!
Stori: Dunstan Shekidele, Morogoro
SHEHE Ponda balaa! hali ni tete kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro ambayo inasikiliza kesi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam, Shehe Ponda Issa Ponda anayekabiliwa na shitaka la kutoa maneno ya uchochezi, Amani lina mtiririko wa habari. Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam, Shehe Ponda Issa Ponda. Juzi, wakati kesi ikiendelea kusikilizwa mahakamani hapo, baadhi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania