Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOTELLI NDIYE MCHEZAJI ANAYEONGOZA KWA KUBAGULIWA EPL

Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli. Mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck.
Takwimu zimeripotiwa  hivi karibuni na Kick it Out, zinaonesha kuwa Mario Balotelli ndiye mchezaji aliyebaguliwa sana katika ligi ya Uingereza, huku mchezaji huyo akipokea zaidi ya ujumbe 8000, asilimia 50 kati ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Balotelli ndiye mchezaji anayeongoza kwa kubaguliwa Ligi Kuu ya Uingereza.

Takwimu zimeripotiwa hivi karibuni na Kick it Out, zinaonesha kuwa Mario Balotelli ndiye mchezaji aliyebaguliwa sana katika ligi ya Uingereza, huku mchezaji huyo akipokea zaidi ya ujumbe 8000, asilimia 50 kati ya hizo zikiwa ni za kibaguzi.
Kick it Out wameripoti takwimu hizo za kushtua, ambao walibaini kwamba raia huyo wa Itali (Mario Balotelli) alilengwa sana katika mitandao ya Twitter huku mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck akipokea ujumbe 1700 asilimia hamsini kati ya hizo zikiwa za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli ndiye aliyebaguliwa zaidi EPL

Mario Balotelli ndiye mchezaji aliyebaguliwa sana katika ligi ya Uingereza ,huku mchezaji huyo akipokea zaidi ya ujumbe 8000.

 

11 years ago

BBCSwahili

Suarez ndiye mchezaji bora katika EPL

Mshambulizi wa Liverpool Luis Suarez ni mchezaji bora msimu huu nchini Uingereza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa EPL anaswa kwa wizi London

Aliyekuwa Mchezaji wa ligi kuu ya Uingereza anaswa kwa wizi katika maduka ya Harrods mjini London

 

9 years ago

Michuzi

Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.

Mshambuliaji wa timu ya Simba, Hamisi Kiiza ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Septemba.Kwa kuibuka mchezaji bora, Kiiza atazawadiwa sh. milioni moja kutoka kwa mdhamini wa Ligi hiyo, kampuni ya Vodacom.Kiiza ambaye ameisadia Simba kufanya vizuri kwenye mwezi huo, ikiwemo kufunga mabao matatu (hat trick) kwenye mechi dhidi ya Kagera Sugar aliwashinda washambuliaji wa timu za Stand United, Elias Maguli,  na Yanga, Amisi Tambwe.Ndani ya mwezi Septemba ambapo zilichezwa raundi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo Ajigamba ndiye mchezaji bora

Mimi ndiye mchezaji bora ulimwenguni, amejigamba Cristiano Ronaldo. Mreno huyo mwenye miaka 30 ambaye ni mshindi mara tatu wa mchezaji bora wa dunia

 

9 years ago

Bongo5

Mimi ndiye mchezaji bora wa soka duniani — Ronaldo

cristiano-ronaldo-553153

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amedai kuwa yeye ndiye mchezaji bora ulimwenguni.

cristiano-ronaldo-553153

Mchezaji huyo raia wa Ureno, 30, ambaye ni mshindi mara tatu wa mchezaji bora wa dunia na mfungaji bora wa Real Madrid ameiambia BBC.

“Sihitaji kusema, niko katika historia ya mpira, mimi ni legend. Namba zinasema kila kitu,” alisema.

Ronaldo ambaye alijiunga Real akitokea Manchester United mwaka 2009 kwa kitita cha auni milioni 80 amesema amefikia kiwango kiwango cha kushangaza kwa kipindi cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Katie Hanshaw: msichana anayeongoza kwa utajiri Nollywood

Unapozungumzia wanawake wanaofanya vizuri kwenye filamu nchini Nigeria kwa haraka haraka watakaotajwa majina ni wale wanaosikika zaidi mfano Ini Edo,Genevive Nnaji,Omotola Jalade na Rita Dominick.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani