Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Katie Hanshaw: msichana anayeongoza kwa utajiri Nollywood

Unapozungumzia wanawake wanaofanya vizuri kwenye filamu nchini Nigeria kwa haraka haraka watakaotajwa majina ni wale wanaosikika zaidi mfano Ini Edo,Genevive Nnaji,Omotola Jalade na Rita Dominick.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BALOTELLI NDIYE MCHEZAJI ANAYEONGOZA KWA KUBAGULIWA EPL

Mshambuliaji wa Liverpool Mario Balotelli. Mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck.
Takwimu zimeripotiwa  hivi karibuni na Kick it Out, zinaonesha kuwa Mario Balotelli ndiye mchezaji aliyebaguliwa sana katika ligi ya Uingereza, huku mchezaji huyo akipokea zaidi ya ujumbe 8000, asilimia 50 kati ya…

 

10 years ago

CloudsFM

Balotelli ndiye mchezaji anayeongoza kwa kubaguliwa Ligi Kuu ya Uingereza.

Takwimu zimeripotiwa hivi karibuni na Kick it Out, zinaonesha kuwa Mario Balotelli ndiye mchezaji aliyebaguliwa sana katika ligi ya Uingereza, huku mchezaji huyo akipokea zaidi ya ujumbe 8000, asilimia 50 kati ya hizo zikiwa ni za kibaguzi.
Kick it Out wameripoti takwimu hizo za kushtua, ambao walibaini kwamba raia huyo wa Itali (Mario Balotelli) alilengwa sana katika mitandao ya Twitter huku mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck akipokea ujumbe 1700 asilimia hamsini kati ya hizo zikiwa za...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

'Married at First Sight': Katie and Derek Fight Bitterly About His Dreams For the Future

'Married at First Sight': Katie and Derek Fight Bitterly About His Dreams For the Future  Showbiz Cheat Sheet

 

10 years ago

Vijimambo

Kwa mpango huu, Yanga itakuwa haishikiki kwa Utajiri

KATIBU Mkuu wa Klabu ya Yanga, Dr. Jonas Tiboroa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kulia ni Mkuu wa kitengo cha habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro.
Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam
Kwa miaka mingi sasa klabu Kongwe za Simba na Yanga zimekuwa zikiibiwa bila kujua zinapoteza mamilioni ya pesa kila mwaka kupitia uuzwaji wa jezi zenye nembo ya klabu yao (Logo), Lakini kama kweli mpango huu hautaishia midomo tu basi Yanga itakuja kuwa bonge la Timu Tajiri Tanzania kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Davido aigiza kwa mara ya kwanza kwenye filamu mpya ya Nollywood, tazama Trailer

Tumezoea kuwaona wasanii wengi wa muziki wa Marekani wakishiriki pia kwenye filamu ama reality tv shows, kitu ambacho hakifanywi sana na wasanii wa Afrika. Staa wa Nigeria, David Adeleke a.k.a Davido ameamua kukionesha kipaji chake kingine mbali na muziki kwa kuigiza kwenye filamu mpya ya Nollywood iitwayo ‘John Zerebe’ ikiwa ndio mara yake ya kwanza […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeteswa kinyama kwa miaka 9

Polisi nchini Argentina wamemwokoa msichana mwenye umri wa miaka 15 ambaye alifungiwa katika eneo la kuegesha magari na kunyimwa chakula pamoja na kupigwa kwa miaka tisa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Msichana auawa kwa kumtetea babake India

Polisi nchini India wanasema kuwa msichana mmoja ambaye alijaribu kumtetea babake kwenye baraza moja la kijiji amepatikana akiwa amekufa.

 

10 years ago

Mtanzania

Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania

mohammed-dewjiRostamMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani