Katie Hanshaw: msichana anayeongoza kwa utajiri Nollywood
Unapozungumzia wanawake wanaofanya vizuri kwenye filamu nchini Nigeria kwa haraka haraka watakaotajwa majina ni wale wanaosikika zaidi mfano Ini Edo,Genevive Nnaji,Omotola Jalade na Rita Dominick.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Yyq9zrGrKEi2aQmAM1Kw-Yhz8-bfCN0MjnyWwf4q2Kvt9Kn15GkwgrdeB72RAKPLBsndT-Sf2G1jva3FCMxjXaIFQV6VO7Vr/238550balotelli45.jpg?width=600)
BALOTELLI NDIYE MCHEZAJI ANAYEONGOZA KWA KUBAGULIWA EPL
10 years ago
CloudsFM20 Apr
Balotelli ndiye mchezaji anayeongoza kwa kubaguliwa Ligi Kuu ya Uingereza.
Kick it Out wameripoti takwimu hizo za kushtua, ambao walibaini kwamba raia huyo wa Itali (Mario Balotelli) alilengwa sana katika mitandao ya Twitter huku mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck akipokea ujumbe 1700 asilimia hamsini kati ya hizo zikiwa za...
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet20 Mar
'Married at First Sight': Katie and Derek Fight Bitterly About His Dreams For the Future
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Kwa mpango huu, Yanga itakuwa haishikiki kwa Utajiri
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/katibu-yanga.jpg)
Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam
Kwa miaka mingi sasa klabu Kongwe za Simba na Yanga zimekuwa zikiibiwa bila kujua zinapoteza mamilioni ya pesa kila mwaka kupitia uuzwaji wa jezi zenye nembo ya klabu yao (Logo), Lakini kama kweli mpango huu hautaishia midomo tu basi Yanga itakuja kuwa bonge la Timu Tajiri Tanzania kupitia...
9 years ago
Bongo513 Oct
Davido aigiza kwa mara ya kwanza kwenye filamu mpya ya Nollywood, tazama Trailer
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Msichana aliyeteswa kinyama kwa miaka 9
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Msichana auawa kwa kumtetea babake India
10 years ago
Mtanzania04 Mar
Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...