Balotelli ndiye aliyebaguliwa zaidi EPL
Mario Balotelli ndiye mchezaji aliyebaguliwa sana katika ligi ya Uingereza ,huku mchezaji huyo akipokea zaidi ya ujumbe 8000.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Yyq9zrGrKEi2aQmAM1Kw-Yhz8-bfCN0MjnyWwf4q2Kvt9Kn15GkwgrdeB72RAKPLBsndT-Sf2G1jva3FCMxjXaIFQV6VO7Vr/238550balotelli45.jpg?width=600)
BALOTELLI NDIYE MCHEZAJI ANAYEONGOZA KWA KUBAGULIWA EPL
10 years ago
CloudsFM20 Apr
Balotelli ndiye mchezaji anayeongoza kwa kubaguliwa Ligi Kuu ya Uingereza.
Kick it Out wameripoti takwimu hizo za kushtua, ambao walibaini kwamba raia huyo wa Itali (Mario Balotelli) alilengwa sana katika mitandao ya Twitter huku mshambuliaji wa Arsenal Danny Welbeck akipokea ujumbe 1700 asilimia hamsini kati ya hizo zikiwa za...
10 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Suarez ndiye mchezaji bora katika EPL
11 years ago
BBCSwahili02 Dec
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Je, Mwanamuziki Burna Boy, ndiye bora zaidi Afrika?
10 years ago
GPL13 Jul
9 years ago
Bongo516 Dec
Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK
![1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418-300x194.jpg)
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza.
Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita.
Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.
Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
10 years ago
Bongo505 Dec
Kristina Pimenova: Mtoto wa miaka 9 ndiye msichana mrembo zaidi duniani (picha)