Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARA LA AFRIKA LAHIMIZWA KUWEKEZA ZAIDI, LOPEZ

Bw. Lopez akiwasilisha hotuba jijini Addis AbabaNa Ally Kondo, Addis AbabaUchumi wa Bara la Afrika umeelezwa kuwa unakua kwa kasi zaidi ukilinganisha na mabara mengine duniani. Hayo yamesemwa na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Uchumi ya Afrika, Bw. Carlos Lopez wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa AU jijini Addis Ababa, Ethiopia siku ya Jumatatu tarehe 26 Januari 2015.Bw. Lopez alithibitisha kauli yake hiyo kwa kunakili ripoti...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BARA LA AFRIKA LAHIMIZWA KUWEKEZA ZAIDI - LOPEZ


Bw. Lopez akiwasilisha hotuba jijini Addis Ababa


Na Ally Kondo, Addis Ababa




Uchumi wa Bara la Afrika umeelezwa kuwa unakua kwa kasi zaidi ukilinganisha na mabara mengine duniani. Hayo yamesemwa na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Uchumi ya Afrika, Bw. Carlos Lopez wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa AU jijini Addis Ababa, Ethiopia siku ya Jumatatu tarehe 26 Januari 2015.




Bw. Lopez alithibitisha kauli yake hiyo kwa kunakili ripoti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

PSPF kuwekeza zaidi katika vitega uchumi

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unatarajia kuwekeza zaidi kwenye vitega uchumi vya muda mrefu, ili kulinda thamani ya michango ya wanachama wake na kulipa mafao bora zaidi....

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom kuwekeza zaidi katika kumkomboa Mwanamke

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Vodafone, Jacqueline Barrett, akizungumza na wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, katika hafla iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa wanawake wa Kampuni hiyo ikiwa ni katika Shamra Shamra za kuelekea katika kuazimisha siku ya Wanawake duniani. Kampuni hiyo imeahidi kuendeleza kuunga mkono harakati za kumkomboa mwanamke. Baadhi ya Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, wakimsikiliza Ofisa Mtendaji Mkuu wa Vodafone, Jacqueline Barrett, katika hafla...

 

11 years ago

CloudsFM

CLOUDS FM YATAJWA REDIO BARA 20 AFRIKA

Clouds fm imetajwa katika listi ya redio 20 bora za barani Afrika, kwa mujibu wa mtandao wa network africa, asanteni sana jamani tunajua kuwa hii nguvu ya waskilizaji na wadau wetu bofya hapo ushuhudie..http://www.networkafrica.com/top-20-best-radio-stations-africa/

 

9 years ago

BBCSwahili

Soko la hisa Uchina laathiri bara Afrika

Kuporomoka kwa soko la hisa nchini Uchina kunaendelea kuathiri sarafu na uchumi wa mataifa ya bara la Afrika.

 

9 years ago

StarTV

GFA yataka raisi atakayelibeba bara la Afrika

Wakati siku za kufanyika kwa uchaguzi wa kumpata raisi mpya wa shirikisho la soka duniani FIFA zikizidi kuhesabika,Chama cha soka nchini Ghana GFA kimeweka masharti kuwa kitakuwa tayari kumpigia kura mgombea atayeonyesha utayari wa kuongeza timu zitakazoshiriki michuano ya kombe la dunia.

Mbali na kuongeza timu shiriki katika kombe la dunia kutoka 32 hadi 40,Mwenyekiti wa GFA Kwesi Nyantakyi amesema raisi watakayempigia kura ni muhimu atoe kipaumbele katika kulipiga jeki bara la Afrika...

 

10 years ago

GPL

MAADHIMISHO UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA YAANZA DAR!

Ukumbi ulioandaliwa kwa ajili ya serehe hizo. Katikati ni, Philipe Roisse kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa (UNESCO) akisalimiana na viongozi wengine. Meza kuu iliyoandaliwa.…

 

5 years ago

CCM Blog

MISRI YATAKA BARA LA AFRIKA LIPEWE HAKI YA KURA YA VETO

Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya vetomwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka bara la Afrika lipewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama la umoja huo na haki ya kura ya veto (turufu).Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imesema kuwa, mwakilishi wa nchi hiyo katika Umoja wa Mataifa, Mohamed Idris ametoa ombi hilo sambamba na kuanza kikao cha duru mpya ya mazungumzo ya Baraza la Usalama kuhusu mabadiliko na ustawi ndani ya jumuiya hiyo ya kimataifa.Taarifa hiyo imesema kuwa, mwakilishi wa...

 

10 years ago

Michuzi

LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA - ZUMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma makabrasha ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU unaofanyika kwa siku mbili jijini Addis Ababa kuanzia leo. Nyuma ya Mhe. Rais ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb). Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Sophia Simba (Mb) na Balozi wa Tanznia nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz (mwenye ushungi).
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani