Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PSPF kuwekeza zaidi katika vitega uchumi

MFUKO wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unatarajia kuwekeza zaidi kwenye vitega uchumi vya muda mrefu, ili kulinda thamani ya michango ya wanachama wake na kulipa mafao bora zaidi....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Watoto wasigeuzwe vitega uchumi’

WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, imewataka wazazi kuacha tabia ya kuwageuza watoto walio chini ya umri wa miaka 18 kuwa vitega uchumi vyao. Kauli hiyo ilitolewa jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali imeshindwa kusimamia vitega uchumi’

MAKAMU wa Rais, Mohamed Gharib Bilal, amesema Tanzania ni nchi tajiri kwa kuwa na vyanzo mbalimbali vya mapato, lakini wasimamizi wakubwa ambao ni serikali wameshindwa kusimamia vyanzo hivyo. Dk. Bilal...

 

10 years ago

Mwananchi

Gama ahimiza ujenzi wa vitega uchumi

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amesema maendeleo ya ujenzi wa Mji wa Moshi ili uwe wa kisasa utafanywa na wadau wenyewe ambao ni wakazi wa ndani na nje ya mji huo kwa lengo la kuleta maendeleo hasa ya kiuchumi.

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom kuwekeza zaidi katika kumkomboa Mwanamke

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Vodafone, Jacqueline Barrett, akizungumza na wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, katika hafla iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa wanawake wa Kampuni hiyo ikiwa ni katika Shamra Shamra za kuelekea katika kuazimisha siku ya Wanawake duniani. Kampuni hiyo imeahidi kuendeleza kuunga mkono harakati za kumkomboa mwanamke. Baadhi ya Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, wakimsikiliza Ofisa Mtendaji Mkuu wa Vodafone, Jacqueline Barrett, katika hafla...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AWAELEZA WASOMI JAPAN UMUHIMU WA VITEGA UCHUMI KWA MAENDELEO YA AFRIKA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa muhadhara katika Chuo Kikuu cha Taaluma ya Sera 'GRIPS' wakati alipoalikwa kwenye muhadhara huo uliofanyika chuoni hapo Jijini Tokyo Japan, jana Mei 23, 2014. Baadhi ya wanachuo kutoka mataifa mbalimbali wa Chuo hicho waliohudhuria Muhadhara huo, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati alipokuwa akitoa muhadhara. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal awaeleza wasomi Japan umuhimu wa vitega uchumi kwa maendeleo ya Afrika

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib  Bilal, akitoa muhadhara katika Chuo Kikuu cha Taaluma ya Sera ‘GRIPS’ wakati alipoalikwa kwenye muhadhara huo uliofanyika chuoni hapo Jijini Tokyo Japan, jana Mei 23, 2014. (Picha na OMR).

Na Mwandishi Maalum, Tokyo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal amesema nchi zinazoendelea hususan za Kiafrika bado zinahitaji uwekezaji zaidi vitega uchumi kutoka nje  (FDIs) ili kupata...

 

11 years ago

Habarileo

PSPF yakaribishwa kuwekeza TSN

KUTOKANA na kuzidi kujiimarisha katika uwekezaji wa miradi mbalimbali nchini, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSPF), umetakiwa kuangalia uwezekano wa kufanya kazi kwa karibu na Kampuni ya Magazeti ya Serikali, TSN, ukiwemo ushirikiano katika uwekezaji.

 

11 years ago

Michuzi

balozi seif akutana na Taasisi za uwekezaji vitega uchumi kutoka Kampuni mbali mbali za Kimataifa za ujenzi mjini Dodoma leo

Na Othman Khamis Ame, OMPR Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Taasisi na washirika wa Maendeleo bado wana fursa nzuri na pana ya kuendelea kushirikiana na Serikali katika uendelezaji wa miradi mbali mbali ya Maendeleo na Kiuchumi.  Alisema fursa hiyo kwa kiasi kikubwa itasaidia kuleta ustawi bora wa Wananchi sambamba na kuimarisha nguvu za uendeshaji wa Taasisi na Mashirika hayo katika mipango yao ya uzalishaji. Balozi Seif alisema hayo Ofisini kwake katika...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania wahimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi

Watanzania wamehimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi hususani kupitia viwanda ambavyo vitazalisha bidhaa bora zitakazouzwa nje ya nchi na kujipatia fedha za kigeni.

Hivi sasa Tanzania inatajwa kuingiza bidhaa nyingi kutoka nchi za nje hali inayosababisha kudorora kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani.

Kwa kiasi kikubwa Tanzania inauza bidhaa ghafi nje ya nchi ambazo thamani yake inakuwa chini wakati uingizwaji wa bidhaa mbalimbali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani