Barabara kupunguza watalii Serengeti
Watalii wanaotembelea Hifadhi ya Serengeti wanaweza kupungua kutokana na miundombinu ya barabara za hifadhi hiyo kuwa mbovu, imeelezwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti
Watalii bilionea 100 kutoka nchi za Ulaya na Marekani wanaotumia ndege binafsi aina ya Boeing BBJ 737 HB-11Q wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuisifia, wakisema ni moja ya urithi wa dunia unaostahili kutunzwa kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2V1qh-QY0Ds/VV2EC9oeRCI/AAAAAAAAPs0/LVwOntqGDJI/s72-c/E86A7629%2B%2528800x533%2529.jpg)
UBOVU WA BARABARA WAWAKOSESHA RAHA WATALII WA NDANI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2V1qh-QY0Ds/VV2EC9oeRCI/AAAAAAAAPs0/LVwOntqGDJI/s640/E86A7629%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XFgZ2e0IQ_w/VV2EDMAnb6I/AAAAAAAAPtA/yLsxAmACJfA/s640/E86A7627%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZiAPhsh7Ves/VV2EC_UDxII/AAAAAAAAPs4/tHWYDSpz2_4/s640/E86A7630%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-__nNIjyhxkA/VV2EHi2ufcI/AAAAAAAAPtU/l6ja7_XzRBQ/s640/E86A7636%2B%2528800x533%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S6PeOSyl5WA/XmXIJ0uds_I/AAAAAAALiJY/FLAcFS0Oi7YCeqa21bPDg-y0nQAkFwcJwCLcBGAsYHQ/s72-c/d00a83dc-c2ab-49ef-99f4-a3ec467bd88f.jpg)
BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI – KIYEGEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-S6PeOSyl5WA/XmXIJ0uds_I/AAAAAAALiJY/FLAcFS0Oi7YCeqa21bPDg-y0nQAkFwcJwCLcBGAsYHQ/s640/d00a83dc-c2ab-49ef-99f4-a3ec467bd88f.jpg)
Kazi za ujenzi wa barabara ya mchepuo katika eneo la Kiyegeya, Wilaya ya kilosa, mkoani Morogoro zikiendelea. Ujenzi wa barabara hiyo upo katika hatua za mwisho na tayari magari makubwa na madogo yameshaanzakuruhusiwa kupita.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/eade9df7-c28a-4e38-aa13-e113b779285b.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SI6pcB6kqUA/XmTcb_fg75I/AAAAAAALh58/8ReXqzeH9p8A7sY_V3T5QnnNVBW3HfxSQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BARABARA YA MCHEPUO KUPUNGUZA KERO YA FOLENI - KIYEGEYA
Serikali imeanza kuyaruhusu magari yaliyokwama katika Barabara Kuu ya Dodoma - Morogoro katika eneo la Kiyegeya, wilaya ya Kilosa kupita katika njia ya mchepuo ambayo imejengwa ili kupunguza msongamano mkubwa wa magari uliopo katika barabara hiyo.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati akisimamia hatua za ujenzi wa barabara hiyo ya mchepuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema hadi sasa zaidi ya malori 60 yameshavuka katika barabara...
Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, wakati akisimamia hatua za ujenzi wa barabara hiyo ya mchepuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema hadi sasa zaidi ya malori 60 yameshavuka katika barabara...
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Ujenzi wa barabara Serengeti wazuiwa
Wakazi wa Ngorongoro wamelalamika kufuatia uamuzi wa kusitisha mradi wa ujenzi wa barabara kupita Serengeti
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Rufaa barabara ya Serengeti yaanza
Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), imeziagiza pande zinazohusika kwenye rufaa ya kupinga hukumu ya kuzuia ujenzi wa barabara ya lami kupitia katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kuwasilisha hoja zao ifikapo Desemba 5, mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Ahadi ya ujenzi barabara Serengeti yakwama
Arusha, Ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kutoka Mto wa Mbu, wilayani Monduli, Mkoa wa Arusha hadi Nata, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara umekwama baada ya Serikali kushindwa kutoa fedha kama ilivyoahidi awali.
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Kifusi cha barabara chahofiwa kupunguza mapato ya halmashauri Bagamoyo
Wamiliki wa Hotel za kitalii mjini Bagamoyo wamelalamikia uongozi wa wa Halimashauri hiyo kwakutojali Uchangiaji wa mapato yatokanayo na wageni wanaokwenda katika mahoteli wametoa mfano wa Kifusi kilicho mwagwa (pichani) zaidi ya miezi miwili bila kusambazwa hivyo kufanya wageni kushindwa kufika katika Hoteli.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania