Baraza la kuunganisha vijana nchini kuundwa
SERIKALI imesema kwamba Baraza la Vijana litakaloundwa, kitakuwa ni chombo cha kitaifa cha kuwaunganisha vijana kubaini changamoto zinazowakabili, bila kujali itikadi zao za kisiasa, dini, rangi na jiografia na namna ya kuzitatua.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rRo3GhvYRoc/Xm8CYKPfeZI/AAAAAAALj2Y/dZtguDYcCagW76FdAFH-4UnSJfZlARTWgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65f3661a2671lsxa_800C450.jpg)
Umoja wa Mataifa wapongeza kuundwa baraza la mawaziri Sudan Kusini
![](https://1.bp.blogspot.com/-rRo3GhvYRoc/Xm8CYKPfeZI/AAAAAAALj2Y/dZtguDYcCagW76FdAFH-4UnSJfZlARTWgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65f3661a2671lsxa_800C450.jpg)
Kwenye taarifa yake msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Stephanie Dujaric, amesema Guterres amepongeza moyo wa maelewano na ushirikiano uliooneshwa na pande husika, ambao umeleta maendeleo haya muhimu.
Guterres amesisitiza utayari wa Umoja wa Mataifa kusaidia pande za Sudan Kusini kutekeleza makubaliano ya Amani ya mwaka 2018, kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a0hB1YznKjw/VYB-qzRiBTI/AAAAAAAHgFg/79Z3bwzmIhk/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
Vijana waridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa
Vijana wameridhishwa na mswada uliopitishwa bungeni wa kuanzishwa baraza la vijana la Taifa na kudai kuwa hiyo ndio njia mojawapo vijana wanaweza kuendeleza shughuli zao za maendeleo .
Wamedai kuwa katika mswada huo vijana wanangazi zao za uongozi kutoka vijijini hadi kitaifa na hali hiyo inakuwa ni rahisi vijana kuwa na uwezo wa kuelezea changamoto zinazowakabili .
Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es salaam na shirika la Restless Development Tanzania – ICS) ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K9hO7wVjFwk/VcNL4ePXoVI/AAAAAAAHuko/ZynudJvddmA/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
Vijana nchini watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Dunia
Vijana watakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani ambayo kitaifa yatafanyika tarehe 12 Agosti jijini Dar es Salaam huku kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa ni “Ushiriki wa Vijana katika masuala ya Kiraia”
Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam.
Bibi Sihaba amesema kuwa maadhimisho hayo yamekuwa yakifanyika kila mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia vigezo ili kunufaika na Mikopo ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana (YDF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-j7UlM9JEi8w/VCAmhRW7StI/AAAAAAAGk_8/CJ1N5Vowkc8/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JRAjNtc9ddI/VCAmgtfPoUI/AAAAAAAGk_4/djFywTB9NdU/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5rOXcFAr6As/Vc_8pHTFv6I/AAAAAAAAkIM/dT3AbuSYOQc/s72-c/3.jpg)
BARAZA LA VIJANA WA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-5rOXcFAr6As/Vc_8pHTFv6I/AAAAAAAAkIM/dT3AbuSYOQc/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceO8E3fSMXc/Vc_8lb6pTAI/AAAAAAAAkH8/SkLLTy8c55k/s640/34.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZZfBmQQFWBw/Vc_8nnZHwsI/AAAAAAAAkIE/KlcS-Sz1fMQ/s640/36.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7TuZ-6tiMQw/Vc_80huRySI/AAAAAAAAkIc/ptA3cdagz5E/s640/12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wjjCSoSxCjg/Vc_8xpO7T_I/AAAAAAAAkIU/MbtHYWrlDa4/s640/17.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Apr
Bunge lapitisha Muswada wa Baraza la Vijana
BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana wa mwaka 2015, uliowasilishwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
‘Toeni maoni muswada baraza la vijana’
KATIBU Ofisi ya Mbunge wa Ubungo, Aziz Himbuka, amewataka wadau mbalimbali kutoa maoni yao juu ya kuboreshwa muswada wa kuunda Baraza la Vijana la Taifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Hatimaye muswada Baraza la Vijana kujadiliwa
HATIMAYE muswada wa uanzishwaji wa Sheria ya Baraza la Vijana wa Mwaka 2013 uliowasilishwa na Mbunge wa Ubungo John Mnyika, utajadiliwa katika mkutano wa 16 na 17 wa Bunge, utakaonza...
10 years ago
Habarileo05 Nov
Mawaziri waridhia sheria ya kuanzishwa Baraza la Vijana
BARAZA la Mawaziri limeridhia kutungwa kwa Sheria ya Kuanzisha Baraza la Vijana ambalo litakuwa chombo cha kuwaunganisha vijana nchini.