Basata wazidi kumpongeza Msama
Na Mwandishi Wetu
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata), limezidi kumpongeza Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya matamasha ya Krismasi na Pasaka, ambayo yanaonekana kuchangia maendeleo ya muziki wa injili Tanzania.
Kwa mujibu wa Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza, matamasha ya Msama yanachangia maendeleo ya muziki wa injili ambayo ndiyo njia ya kufanikisha ujumbe wa neno la Mungu hasa kwa matukio mbalimbali.
Mngereza alitoa pongezi kwa Msama hasa kipindi hiki cha kuelekea mwishoni mwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Serikali iunge mkono harakati za Basata, Msama Promotions
“Heshima ya Tanzania katika nyanja ya sanaa na utamaduni itatokana na uwepo wa wasanii wanaojitambua tangu wakiwa wadogo, ndiyo maana sisi Msama Promotions tunasisitiza umuhimu wa kuwajenga wasanii tangu wakiwa...
10 years ago
Habarileo29 Mar
Wabunge waungana kumpongeza Spika
WABUNGE wamempongeza Spika wa Bunge, Anne Makinda kwa kusimamia kuanzishwa kwa Kamati ya Bunge ya Bajeti pamoja na Sheria ya Bajeti kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, jambo litakalodhibiti na kuziba mianya ya matumizi mabaya ya fedha za Serikali.
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Wasanii wapingana sherehe ya kumpongeza Rais
NA MWALI IBRAHIM
UMOJA wa mashirikisho ya sanaa Tanzania umepinga uwepo wa Umoja wa Wasanii ulioandaa sherehe ya kumuaga Rais Jakaya Kikwete katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya umoja huo, Kimella Billa, alitangaza kutotambua umoja huo na kudai kwamba, kilichofanyika ni kinyume cha taratibu.
“Umoja huo haujasajiliwa, pia uwezo wa wasanii tunaufahamu, ni vigumu kufanya shughuli kubwa ile ambayo haikuwa na mdhamini, tunaamini kulikuwa na nguvu ya mtu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-S8TLVCYbL-I/VIWGMz-bciI/AAAAAAAG2AY/IO6lf-Iqpe4/s72-c/MMGM1169.jpg)
MAULID YA KUMPONGEZA BI. ZAHRA MUHIDIN MICHUZI YAFANA SANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-S8TLVCYbL-I/VIWGMz-bciI/AAAAAAAG2AY/IO6lf-Iqpe4/s1600/MMGM1169.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B5zd51xtxNI/VIWDM7X50PI/AAAAAAAG18Q/OtYNHCec7K0/s1600/MMGM0371.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0bgxfRLJTw/Xu8ooOB6fZI/AAAAAAALuzg/_18wmJJA_isqPVRzT91_rkVKL0S-30xMACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200621-WA0041.jpg)
Baraza la wazazi Njombe lapitisha azimio la kumpongeza Rais Magufuli
Akizungumza na Wajumbe wa Baraza hilo kwenye Ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Njombe Ndg, Hussein Mwaikambo Katibu wa Jumuiya hiyo alisema, katika Kipindi cha Miaka mitano Rais...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WmnZ-wWzybc/U_DDSaypZ1I/AAAAAAAGARg/aaN6fbS0QpA/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
SADC yaishukuru Tanzania kwa mchango wa ukombozi na kumpongeza Mzee Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-WmnZ-wWzybc/U_DDSaypZ1I/AAAAAAAGARg/aaN6fbS0QpA/s1600/unnamed%2B(2).jpg)