Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BASI LA ALLYS STAR LAKAMATWA NA MBAO ZIKIWA ZIMEFICHWA NDANI YA VITI VYA ABIRIA KAHAMA

 Hili ndiyo basi la Allys star likiwa kituo cha polisi wilayani kahama baada ya raia wema kutoa ripoti ya basi hilo limebeba mbao ndani  kwenye viti na abiria .huku afisa wa mistu mwenye shati jeupe mohamed Dossa akisimia kushushwa kwa mbao hizo . Basi la Ally star likiwa kituo cha polisi kabla ya kutoa mbao hizi . Maafisa wa maliasili wilayani kahama wakishangaa jinsi gani mbao hizo zilivyofichwa ndani ya basi la abiria vikiwemo vitanda na mbao Hii ndiyo hali halisi wa maliasili zetu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA

Gari lenye namba za usajili T 607 CVL likiwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara baada ya kuharibika.

Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...

 

11 years ago

GPL

ABIRIA AJICHINJA NDANI YA BASI

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
AMA kweli duniani kuna mambo kwani dereva na abiria wa basi la Manchester ambalo namba yake haikujulikana mara moja, lililokua likitoka Lindi kwenda jijini Dar es Salaam walijikuta wakiangua vilio baada ya kumuona mwenzao akijichinja hadi kufa kwa kisu ndani ya gari hilo. Kwa mujibu wa chanzo, tukio hilo la kusikitisha lilitokea saa tisa alasiri, Jumatano wiki iliyopita mara basi hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria afa ndani ya basi

WATU wawili wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro katika matukio tofauti, likiwemo la mmoja aliyekutwa amekufa akiwa katika basi la Kampuni ya Kilenga akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Basi la timu ya taifa TZ lakamatwa

Basi la timu ya taifa ya soka TZ, limekamatwa kutokana na deni la shilingi milioni 140.

 

10 years ago

GPL

BASI LA WANAFUNZI WALEMAVU SINZA LAKAMATWA, WASHINDWA KWENDA SHULE

Mwalimu Mkuu Msaidizi, Gabriel Mselemu, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Walimu wakiwa darasani na wanafunzi wawili.…

 

10 years ago

Vijimambo

BASI LA KLM EXPRESS LAKAMATWA BAADA YA KUSAFIRISHA SHEHENA YA MILIPUKO ENEO LA KOROGWE

Milipuko hiyo baada ya kukamatwa mchana huu ikiwa ndani ya boksiKuna shehena kubwa ya milipuko ya hatari inayotumika kutengenezea Mabomu ya Kuvulia samaki na kutengenezea milipuko ya kupasulia miamba migumu imekamatwa eneo la Korogwe mchana huu wakati wa Jeshi la Polisi walipokamata Basi la KLM EXP lenye usajili wa namba T491 ARB kwa ajili ya Ukaguzi. Milipuko hiyo ambayo imesafirishwa kwa njia ambayo sio sahihi kutokana na hatari yake ya kuwa kulikuwa na abiria na kama Basi Lingetingishika...

 

10 years ago

Vijimambo

BASI LA WIBONELA LAPINDUKA KAHAMA ASUBUHI YA LEO

Picha sio basi husika
Basi la Kampuni ya Wibonela lapinduka Asubuhi ya leo Huko Kahama,

WATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama.
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na kupinduka.
Idadi kamili ya waliopoteza maisha na majeruhi kwenye ajali hiyo...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Abiria apindua basi

Na Albano Midelo WATU wasiozidi 50 wamenusurika kifo baada ya basi dogo kupinduka katika eneo la Sinai nje kidogo ya mji wa Songea mkoani Ruvuma kutokana na uzembe wa abiria . Ajali hiyo ilisababisha na mtu mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni askari wa jeshi la kujenga Taifa JKT Mlale Songea ambaye alikuwa ni mmoja wa abiria kuamua kuendesha basi hilo baada ya dereva wa basi kutelemka na kumsaidia  dereva mwenzake ambaye basi lake lilikuwa limeharibika. Dereva wa basi lililopata ajali Bernad...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani