BASI LA ALLYS STAR LAKAMATWA NA MBAO ZIKIWA ZIMEFICHWA NDANI YA VITI VYA ABIRIA KAHAMA
Hili ndiyo basi la Allys star likiwa kituo cha polisi wilayani kahama baada ya raia wema kutoa ripoti ya basi hilo limebeba mbao ndani kwenye viti na abiria .huku afisa wa mistu mwenye shati jeupe mohamed Dossa akisimia kushushwa kwa mbao hizo .
Basi la Ally star likiwa kituo cha polisi kabla ya kutoa mbao hizi .
Maafisa wa maliasili wilayani kahama wakishangaa jinsi gani mbao hizo zilivyofichwa ndani ya basi la abiria vikiwemo vitanda na mbao
Hii ndiyo hali halisi wa maliasili zetu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuU0SkwhrrfkbdhvcE7r6aLQJfeqjzA5pvgEMCOnbRoE*srxIdvS-d4ykqmCr7We7CFyMoQlrMsemSzJS3*dCxGx/abiria.jpg?width=650)
ABIRIA AJICHINJA NDANI YA BASI
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Abiria afa ndani ya basi
WATU wawili wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro katika matukio tofauti, likiwemo la mmoja aliyekutwa amekufa akiwa katika basi la Kampuni ya Kilenga akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OX-i6slHCw0/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Basi la timu ya taifa TZ lakamatwa
10 years ago
GPLBASI LA WANAFUNZI WALEMAVU SINZA LAKAMATWA, WASHINDWA KWENDA SHULE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CxV6-HCmHBE/VLJkB6fa9PI/AAAAAAABCME/xsV69S8omTI/s72-c/IMG-20150111-WA0021.jpg)
BASI LA KLM EXPRESS LAKAMATWA BAADA YA KUSAFIRISHA SHEHENA YA MILIPUKO ENEO LA KOROGWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-CxV6-HCmHBE/VLJkB6fa9PI/AAAAAAABCME/xsV69S8omTI/s640/IMG-20150111-WA0021.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Nov
BASI LA WIBONELA LAPINDUKA KAHAMA ASUBUHI YA LEO
Basi la Kampuni ya Wibonela lapinduka Asubuhi ya leo Huko Kahama,
WATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama.
Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na kupinduka.
Idadi kamili ya waliopoteza maisha na majeruhi kwenye ajali hiyo...
11 years ago
KwanzaJamii11 May
Abiria apindua basi