Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BBC Africa Eye: Biashara haramu ya miti ya mwaridi Afrika Magharibi

Kwa mwaka mzima BBC Africa Eye imefanya uchunguzi wa biashara ya mamilioni ya dola ya usafirishaji wa miti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

BBC Africa Eye: imegundua vitendo vya mateso vinavyotekelezwa na polisi

Kitengo cha BBC Africa Eye kimebaini ushahidi wa video zinazoshtusha ukionesha vitendo vya utesaji watu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: BBC Africa Eye yabaini jinsi corona inavyoathiri maisha Sierra Leone

Sierra Leone iliathiriwa vibaya na Ebola ilipoyakumba mataifa ya Magharibi mwa Afrika, na sasa Covid-19. Video hii ya BBC Africa Eye, inaangazia athari za corona.

 

9 years ago

Mwananchi

Biashara haramu, simu,

Diana yuko ndani ya ofisi yake nadhifu sana akipitia taarifa mbalimbali za kikazi .  Ghafla simu yake ikaita na anapoipokea anafahamishwa kuwa kuna mgeni muhimu anataka kumuona. Mgeni mwenyewe alipomuona  kuanzia hapo wakawa pamoja kama chanda na pete.  Je, ni nani huyo?

 

10 years ago

Mwananchi

Biashara haramu ya madini kudhibitiwa

Wanachama wa nchi za maziwa makuu wameanza utekelezaji kwa kuweka mikakati ya kupambana na uchimbaji haramu wa madini pamoja na biashara haramu za maliasili zinazofanywa katika ukanda huo, ili kutokomeza hali hiyo ambayo imekuwa chachu kwa matukio ya uvunjifu wa amani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawasiliano biashara haramu yakamatwa

POLISI na Idara ya Uhamiaji Kilimanjaro wamekamata mawasiliano baina ya wahusika wa biashara ya wahamiaji haramu na mawakala wao baada ya kukamatwa watu watatu wanaotajwa kuwa vinara wa biashara ya...

 

10 years ago

Habarileo

Biashara ya fedha haramu yakithiri

Kamishna Mkuu wa TRA, Dk Rished Bade KUSHAMIRI kwa fedha haramu nchini kunakofanywa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu ndani na nje ya nchi, kumeisababishia taifa hasara ya bilioni 590/- (dola milioni 328) kila mwaka, imeelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

MAHAKAMANI KWA BIASHARA HARAMU.

Dar es Salaam.  Watu 22 wamefikishwa katika  Mahakama ya Jiji Sokoine Drive wakiwemo wanawake 9 kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za kufanya biashara ya kuuza miili yao.

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA HARAMU YA MKAA INAPOFADHILI UGAIDI


Na Mwandishi Maalum, New York


Inaweza  ikawa ni  taarifa za  kushangaza kuwa hata mkaa ambao ni  nishati inayotumiwa na jamii kubwa sehemu mbalimbali hususani  Barani Afrika kwamba mapato yatokanayo na   biashara hiyo  yanaweza kuwa chanzo ya mapato kwa  makundi ya kigaidi.


Taarifa kwamba  mapato yatokanayo na mkaa yanatumika ndivyo sivyo, zimejidhirisha mwishoni  mwa wiki ( Ijumaa ) pale Baraza Kuu la  Usalama la Umoja wa Mataifa lilipopitisha kwa kura  Azimio  namba  2182 la mwaka 2014...

 

10 years ago

Mwananchi

Victoria yakwamisha udhibiti biashara haramu

Ziwa Victoria limetajwa kuwa kikwazo katika udhibiti wa vyakula na dawa zisizofaa kutumika kwa binadamu, likidaiwa kutumika kupitisha bidhaa haramu kwenye mipaka isiyo rasmi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani