Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BBG yataka uwazi katika mikataba

Mwenyekiti wa kundi la wafanyabiashara wa Uingereza nchini (BBG), Christopher Ford ameiomba Serikali na wawekezaji kuweka wazi mikataba na mapato yao ili kuwatoa wasiwasi wananchi juu ya mustakabali wa rasilimali zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TAKUKURU yataka uwazi mikataba ya gesi

p>MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), Dk. Edward Hoseah, amesema tayari wameshaiandikia barua Wizara ya Nishati na Madini kuwataka wahakikishe sera, sheria na mikataba...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

PAC yataka mikataba ya gesi


NA MARIAM MZIWANDA
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwasilisha mikataba yote ya gesi ambayo haijafanyiwa ukaguzi.
Pia imeagiza kuwasilishwa kwa taarifa za mapitio ya mikataba hiyo kesho kwa Katibu wa Bunge baada ya saa za kazi ili ifanyiwe ukaguzi kubaini utekelezaji wa miradi.
Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe, alisema hayo jana wakati wajumbe wa kamati hiyo walipokutana na uongozi wa TPDC.
Alisema TPDC lazima iwasilishe...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YATAKA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA KUTEKELEZA KWA VITENDO DHANA YA UWAZI NA UWAJIBIKAJI

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi ( picha ya Maktaba) ametoa wito kwa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Ofisi zake kutekeleza kwa vitendo dhana ya uwazi na uwajibikani kama yanavyozishikiza Nchi Wanachama, kwa kile alichosema, utekelezaji wa dhana hiyo haupashwi kuwa jukumu la Serikali peke yake. Ametoa wito huo wakati wa majadiliano ya Ripoti ya Baraza la Haki za Binadamu iliyowasilishwa siku ya jumatatu mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa...

 

10 years ago

GPL

MR. UWAZI AGAWA SUKARI KWA WASOMAJI WA ‘UWAZI MIZENGWE’ DAR

Msomaji wa Uwazi Mizengwe akipokea zawadi ya mfuko wa sukari eneo la stendi ya daladala ya Makumbusho, Kijitonyama. Mteja wa Uwazi Mizengwe (kushoto mwenye mkoba) kabla ya kununua gazeti katika meza ya muuza magazeti eneo la Mwenge.…

 

10 years ago

GPL

GAZETI LA UWAZI MIZENGWE KATIKA UBORA WAKE

Timu ya Kitengo cha Teknolojia ya Habari (IT) Global Publishers, katika pozi na nakala zao za Gazeti la Uwazi Mizengwe linaloingia sokoni kila Ijumaa. Wafanyakazi wa Global Publishers Ltd wakiburudika na Uwazi Mizengwe.…

 

9 years ago

Mwananchi

Rais wa Namibia ataka uwazi katika chaguzi za Afrika

Rais wa Namibia Dkt Hage Geingob amesema nchi za Afrika zinapaswa kuweka mazingira ya uwazi katika chaguzi zake ili kuondoa manung’uniko baina ya wanasiasa na vyama vitakavyoshindwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Finland yaipongeza Zanzibar katika uwazi wa taarifa za ardhi

DSCN4348

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar Nd. Ali Khalid Mirza (Kushoto) akiwasilisha hotuba yake kwa mgeni rasmi Balozi wa Finland nchini Tanzania Bi Sinnika Antilla (Kulia) katika Uzinduzi wa Mfumo wa Mtandao wa Upatikanaji Taarifa za Ardhi Zanzibar unaojulikana kama (Zanzibar Land Information Service) (ZALIS) uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Ardhi iliyoko Forodhani Mjini Zanzibar. (Picha na Miza Othman Maelezo-Zanzibar).

Na Abdulla Ali...

 

10 years ago

Mwananchi

Usiri katika mikataba ni kwa faida ya nani?

Licha ya Serikali kueleza kwamba katika suala la maendeleo ni lazima wananchi washirikishwe kuanzia ngazi ya chini, bado jambo hilo limebaki kuwa hadithi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani