Ben Paul: Tuige mfano wa 2Face, D Banj
NA THERESIA GASPER
MSANII wa kizazi kipya, Bernady Paul ‘Ben Paul’, amewataka wasanii wa Tanzania waige tabia za wasanii wa Nigeria, D Banj na 2Face kwa kuwa huwa hawana masihara katika uandaaji wa kazi zao za muziki.
Ben Paul alisema wasanii hao wanajua wanachofanya kuanzia katika uandaaji wa kazi zao hadi jukwaani tofauti na baadhi ya wasanii wetu hapa hukurupuka bila kujiandaa kwa kazi zao.
“2Face na D Banj ni wasanii wanaoendelea kudumu katika muziki kwa miaka mingi kwa kuwa ni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Sep
Ben Pol ayasema haya kuhusu 2Face na D’Banj, ni collabo?
9 years ago
Bongo506 Oct
I planned a song with Don Jazzy before 2Face begged us — D’banj
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
AUDIO: Sofia Remix By Peter Msechu-Original Song By Ben Paul
10 years ago
GPL11 Dec
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Coke Studio ni moja ya mafanikio katika safari yangu ya muziki-Ben Paul
.Wanamuziki Ben Paul na Fid Q wanaoshiriki kwenye onyesho la Coke Studio wakiwa katika picha ya pamoja na washabiki wao wakati wa uzinduzi wa onyesho hili jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
![BEN 3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/BEN-3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
Izo Business na Ben Paul wapamba uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio mkoani Iringa
Afisa Mipango VVU/UKIMWI kutoka UNICEF, Bi. Alice Ijumba akitoka kukagua jukwaa lenye hadhi ya kimataifa la Ebony FM kwenye uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio uliofanyika jana kwenye viunga vya Samora mkoani Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari Tosamaganga wakiwasili kwenye viwanja vya Samora mjini Iringa kushuhudia uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio inayowalenga vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 iliyozinduliwa rasmi jana mkoani...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0145.jpg?width=640)
IZO BUSINESS NA BEN PAUL WAPAMBA UZINDUZI WA KAMPENI YA SHUGA REDIO MKOANI IRINGA
9 years ago
Mwananchi13 Sep
KUTOKA LONDON :wananchi afrika tupendane, tuige wenzetu ughaibuni
5 years ago
FOX Sports Malaysia28 Feb
Paul Scholes hails Bruno Fernandes, claims he has ‘brought what one expected from Paul Pogba’