Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ben Paul: Tuige mfano wa 2Face, D Banj

benNA THERESIA GASPER

MSANII wa kizazi kipya, Bernady Paul ‘Ben Paul’, amewataka wasanii wa Tanzania waige tabia za wasanii wa Nigeria, D Banj na 2Face kwa kuwa huwa hawana masihara katika uandaaji wa kazi zao za muziki.

Ben Paul alisema wasanii hao wanajua wanachofanya kuanzia katika uandaaji wa kazi zao hadi jukwaani tofauti na baadhi ya wasanii wetu hapa hukurupuka bila kujiandaa kwa kazi zao.

“2Face na D Banj ni wasanii wanaoendelea kudumu katika muziki kwa miaka mingi kwa kuwa ni...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ben Pol ayasema haya kuhusu 2Face na D’Banj, ni collabo?

Ben Pol amewataka wasanii wa Tanzania waige mfano wa wasanii nguli wa Nigeria, D’Banj na 2Face kwakuwa hawana utani katika uandaaji wa kazi zao za muziki. Ben Pol ameliambia gazeti la Mtanzania kuwa wasanii hao wanajua wanachofanya kuanzia katika uandaaji wa kazi zao hadi jukwaani tofauti na baadhi ya wasanii wetu hapa nchini wanaokurupuka bila […]

 

9 years ago

Bongo5

I planned a song with Don Jazzy before 2Face begged us — D’banj

Popular singer and entertainer, D’banj has said that even before iconic songster, 2Face Idibia pleaded with him and his former partner, Don Jazzy to come back together and give fans one more hit, they already had something like that planned. In an exclusive chat with Vanguard Nigeria, D’banj enthused, “Glo has said they will sponsor […]

 

10 years ago

Dewji Blog

AUDIO: Sofia Remix By Peter Msechu-Original Song By Ben Paul

5bffmsechucover

Nafurahi kukufahamisha kuwa nimefanya remix ya wimbo wa Ben Paul SOFIA,   Hii sio official release yangu ila nimefanya kwa ajili ya mashabiki zangu na wa Ben Paul ili kuwapa ladha tofauti ya wimbo wanaoupenda.   Nashukuru kwa kunisapoti.   ASANTE,   PETER MSECHU.   ISIKILIZE HAPA CHINI.

 

9 years ago

Dewji Blog

Coke Studio ni moja ya mafanikio katika safari yangu ya muziki-Ben Paul

BEN 1

.Wanamuziki Ben Paul na Fid Q wanaoshiriki kwenye  onyesho la Coke Studio wakiwa katika picha ya pamoja na washabiki wao wakati wa uzinduzi wa onyesho hili jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

BEN 2

Sehemu ya wafanyakazi wa kiwanda cha Coca Cola Kwanza wakifuatilia onyesho la Coke Studio. BEN 3 Msimu wa Coke Studio umewahusisha pia wanafunzi mashuleni kuonyesha vipaji vyao kama anavyoonekana mwanafunzi akionyesha kipaji cha kucheza katika moja ya tamasha la Coke Studio lililofanyika mjini Mwanza...

 

11 years ago

Dewji Blog

Izo Business na Ben Paul wapamba uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio mkoani Iringa

DSC_0145

 Afisa Mipango VVU/UKIMWI kutoka UNICEF, Bi. Alice Ijumba akitoka kukagua jukwaa lenye hadhi ya kimataifa la Ebony FM kwenye  uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio uliofanyika jana kwenye viunga vya Samora mkoani Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).

DSC_0455

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari Tosamaganga wakiwasili kwenye viwanja vya Samora mjini Iringa kushuhudia uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio inayowalenga vijana wenye umri kati ya miaka 15-24  iliyozinduliwa rasmi jana mkoani...

 

11 years ago

GPL

IZO BUSINESS NA BEN PAUL WAPAMBA UZINDUZI WA KAMPENI YA SHUGA REDIO MKOANI IRINGA‏

Afisa Mipango VVU/UKIMWI kutoka UNICEF, Bi. Alice Ijumba akitoka kukagua jukwaa lenye hadhi ya kimataifa la Ebony FM kwenye uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio uliofanyika jana kwenye viunga vya Samora mkoani Iringa. Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari Tosamaganga wakiwasili kwenye viwanja vya Samora mjini Iringa kushuhudia uzinduzi wa kampeni ya SHUGA Redio inayowalenga vijana wenye umri kati ya miaka 15-24...

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON :wananchi afrika tupendane, tuige wenzetu ughaibuni

Nilikuwa n’kikagua mifuko ya mchele supamaketi. Bei yake ilikuwa nzuri lakini siyo aina ya mchele n’naoutumia. Zamani Bongo nakumbuka ubwabwa uliliwa siku maalumu, hususan Jumapili au sikukuu kama Idd El Fitr na Krismasi. Hivyo hatukuwa na uchaguzi kama siku hizi.

 

5 years ago

FOX Sports Malaysia

Paul Scholes hails Bruno Fernandes, claims he has ‘brought what one expected from Paul Pogba’

Paul Scholes hails Bruno Fernandes, claims he has ‘brought what one expected from Paul Pogba’  FOX Sports MalaysiaView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani