BENDI YA SKYLIGHTY: Mwaka mmoja, nyimbo tatu, studio
Licha ya kuwapo kwa bendi kongwe ambazo zimekuwa zikipiga muziki wa dansi kuanzia miaka ya 70, kama vile Msondo na Sikinde, kuna bendi mpya zinazopiga muziki wenye mahadhi ya Kiafrika ambazo zimekuwa na mashabiki wengi na kuwa gumzo Tanzania nzima.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Jan
Nay Wa Mitego: Mwaka huu nitaachia nyimbo sita badala ya tatu kama watu walivyozoea
![nay new2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/nay-new2-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego amesema kuwa moja ya mipango ya kuboresha kazi zake mwaka huu ni pamoja na kuongeza idadi ya nyimbo atakazoachia.
Akizungumza na MTANZANIA, Ney wa Mitego alisema amekuwa akitoa nyimbo mbili au tatu kwa mwaka lakini katika mwaka huu anataka kuachia nyimbo sita.
“Nimekuwa nikitoa nyimbo mbili kwa mwaka au tatu, kwa sasa nataka nizidi kuwapa raha mashabiki wangu kwa mambo mazuri ambayo nimewaandalia mwaka huu, nitaachia nyimbo sita badala ya tatu kama watu walivyozoea,”...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UO9234PB6mk/VI_2iKARSoI/AAAAAAAG3f0/-8WpXy3mC2k/s72-c/10846465_820989117943210_5507661516903147093_n.jpg)
Luizer Mbutu kuimba nyimbo zote alizoshiri katika bendi ya Twanga Pepeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-UO9234PB6mk/VI_2iKARSoI/AAAAAAAG3f0/-8WpXy3mC2k/s1600/10846465_820989117943210_5507661516903147093_n.jpg)
Akizungumza na Ripota wetu jana Mbutu alizitaja baadhi ya nyimbo hizo kuwa ni ‘Kisa Cha Mpemba’, ‘Jirani’, ‘Fainali Uzeeni’, ‘Mtu Pesa’, ‘Safari 2005’, ‘Mwana Dar es Salaam’ , ‘Kuolewa’ pia kutakuwa na wimbo maalum siku hiyo.
Mbutu...
11 years ago
Bongo524 Jul
Ali Choki kupunguza urefu wa nyimbo za bendi yake, adai ni kuendana na mahitaji ya soko
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Ni hatari bendi kutegemea umaarufu wa msanii mmoja
SALAAM aleikum msomaji wa safu hii inayokujia siku kama ya leo. Leo nitazungumzia kasumba ya bendi kujitangaza kibiashara kupitia jina la msanii huku tukiangazia faida na hasara zake. Nasema hivi...
10 years ago
GPL26 Oct
9 years ago
Michuzi11 Oct
YAMOTO BENDI NA KALUNDE KUTUMBUIZA KATIKA TUZO ZA TASWA JUMA TATU HII
Maandalizi kuhusiana na tuzo hizo zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) yamekamilika kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wanamichezo wanaotoka nje ya Dar es Salaam ambao ni miongoni mwa watakaopewa tuzo wanatarajiwa kuwasili leo jioni tayari kwa shughuli hiyo.
Tunaamini uwepo wa Yamoto na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gOKu8Y9tEb4/VWYrq-9nNkI/AAAAAAAHaP8/uVi4gQAYj9M/s72-c/alikiba%2B%25281%2529.jpg)
COKE STUDIO AFRIkA MSIMU WA TATU YAANZA
Maonyesho hayo ya muziki ya Coke Studio Africa ni tofauti na mengine ya aina...
9 years ago
Bongo521 Dec
Ommy Dimpoz ana nyimbo za albamu tatu ndani – Meneja
![Ommy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ommy-1-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz ana nyimbo nyingi ndani zinazoweza kufikisha takriban albamu tatu.
Akizungumza na Bongo5 Jumamosi iliyopita kwenye uzinduzi wa video ya wimbo wake mpya, Achia Body, meneja wake, Mubenga, alisema mpaka sasa tayari wamesharekodi nyimbo nyingi ambazo zinasubiri muda wake tu.
“Sisi hatupaniki, tunaangalia target zetu kwenye muziki,” alisema. “Tunajiuliza sasa hivi inafaa kutoa ngoma? Kwa sababu ngoma tunazo, Ommy ana nyimbo kama albamu tatu, zingine hadi mimi nimeshazizoea naziona....
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-UejVb5EwXPc/VYK19eciPLI/AAAAAAAB-B4/IWFAAe2Djhg/s640/blogger-image--442025607.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-oK4C43J87l0/VYK2GdT1urI/AAAAAAAB-CA/8LsqPxinRpE/s640/blogger-image-685183973.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-npatPrWyp9U/VYK3Q-yu3mI/AAAAAAAB-CI/eQGm0xPwytU/s640/blogger-image--1073419117.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Nak95vAOQ0A/VYK3hOgN1NI/AAAAAAAB-CQ/eevKioi1ZOI/s640/blogger-image-959981763.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hf9TZ07wfEs/VYK3ovrYg8I/AAAAAAAB-CY/ykmqWdvwPYA/s640/blogger-image--1313195988.jpg)