Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni hatari bendi kutegemea umaarufu wa msanii mmoja

SALAAM aleikum msomaji wa safu hii inayokujia siku kama ya leo. Leo nitazungumzia kasumba ya bendi kujitangaza kibiashara kupitia jina la msanii huku tukiangazia faida na hasara zake. Nasema hivi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BENDI YA SKYLIGHTY: Mwaka mmoja, nyimbo tatu, studio

Licha ya kuwapo kwa bendi kongwe ambazo zimekuwa zikipiga muziki wa dansi kuanzia miaka ya 70, kama vile Msondo na Sikinde, kuna bendi mpya zinazopiga muziki wenye mahadhi ya Kiafrika ambazo zimekuwa na mashabiki wengi na kuwa gumzo Tanzania nzima.

 

10 years ago

Bongo5

Video: Christian Bella azungumzia siri ya kufanikiwa kama msanii wa bendi anayejitegemea

Ali Choki, Khalid Chokoraa, Super Nyemwela na wasanii wengine wa bendi wamewahi kujaribu kuimba kama solo artists lakini hawakuweza kufanikiwa lakini si kwa Christian Bella. Muimbaji huyo aliyeanza kujulikana na bendi yake ya Akudo, kwa sasa ni miongoni mwa wasanii wanaopendwa zaidi nchini Tanzania. Mwaka huu, Bella amekuwa miongoni mwa wasanii waliopiga show za Kili […]

 

11 years ago

Habarileo

Ugonjwa hatari watesa 144 Dar, waua mmoja

WAGONJWA 144 wamethibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya Dengue hadi wiki iliyopita jijini Dar es Salaam huku mtu mmoja akifariki dunia. Kwa mujibu wa Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando, Wilaya ya Kinondoni ndiyo inayoongoza kwa kuwa na wagonjwa 132, Ilala ina wagonjwa wanane na Temeke wanne.

 

10 years ago

Vijimambo

Hii hatari Sana BVR,mtu mmoja vitambulisho viwili

Hii imekaaje wadau
Picha kwa hisani ya Mbeya Yetu

 

10 years ago

GPL

BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE

Waimbaji wa Ruby Bendi wakiwa katika pozi baada ya kufanya mahojiano na Global TV Online kutoka kushoto ni Suma Luvi, Smaina, Kwea Pia na Maya. (PICHA: GLOBAL TV ONLINE)

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti wa CCM aonya kutegemea matajiri

Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete amesema kitendo cha kutumia matajiri kama vyanzo vya mapato, kunadhalilisha chama hicho na haiwezi kuendelea kuvumiliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Aibu bajeti ya nchi kutegemea wafadhili’

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema ni aibu kwa serikali kuandaa bajeti inayotegemea wafadhili na kushindwa kukusanya kodi kwenye vyanzo vikubwa vya mapato ya nchi. Akizungumza katika semina ya...

 

10 years ago

StarTV

Tanzania yahofiwa kutegemea zaidi misaada.

Na Ramadhan Mvungi,

Arusha.

 

Watafiti kutoka asasi na mashirika yasiyo ya kiserikali nchini wamebainisha kuwa huenda Tanzania ikajikuta katika utegemezi zaidi wa misaada kutoka kwa mataifa yaliyoendelea iwapo juhudi za makusudi na za haraka hazitachukuliwa kudhibiti vitendo vya uharibifu wa mali za Umma.

 

Tatizo jingine ni usimamizi mbovu wa rasilimali ikiwemo ukusanyaji hafifu wa mapato yanayotokana na rasilimali za maliasili za madini na gesi.

 

Katika mdahalo uliofanyika jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani