Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Beyoncé afunga mitaa ya New Orleans kushoot video mpya

beyonce-jpeg

Ni miaka miwili sasa tangu Beyoncé atoe albamu ya kushtukiza na dunia nzima kupagawa.

beyonce-jpeg

Lakini huenda Queen B akawa na surprise nyingine kubwa.

Kwasababu malkia huyo alikodi uwanja wa Mercedes-Benz Superdome huko New Orleans kwa kushoot video mpya Jumanne hii. Aliingia kwenye uwanja huo akiwa na mume wake Jay Z.

Beyoncé's dancers on the set of her new video. #SuperDome #NOLA pic.twitter.com/8yPBoCX0Pl

— BEYONCÉ LEGION (@Bey_Legion) December 23, 2015

Haijulikani hasa nini alichoshoot lakini...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video

Fareed Kubanda a.k.a Fid Q amesema anatarajia kwenda nje ya nchi kushoot video yake mpya. Rapper huyo wa Rock City amesema amedhamiria kuanza kufanya video nzuri baada ya kukaa muda mrefu bila video nzuri au wakati mwingine kutofanya kabisa licha ya kutoa hits nyingi. “Nimedhamiria kufanya video nzuri, kwahiyo kiukweli nashindwa kusema itakuwa ni aina […]

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA kwenda Afrika Kusini kushoot video ya wimbo mpya

FA

Mwana Fa ni miongoni mwa wasanii waliositisha kazi zao za muziki ili kupisha mambo ya kampeni pamoja na uchaguzi, na sasa baada ya hayo yote kumalizika yuko tayari kurejea kwenye uwanja wake wa kujidai, yaani muziki.

FA

Binamu amesema kuwa ana kazi nyingi ambazo amezifanya na anaendelea kufanya zingine, “Kweli nina kazi wala sio kazi moja wala sio kazi mbili, yani nina kazi kadhaa na wiki ijayo narekodi nyingine,” aliiambia Planet Bongo ya East Africa Radio. “ lakini haya mambo ya uchaguzi...

 

11 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego kuachia wimbo mpya ‘Nimewaka’, video kushoot Dubai au US!

Nay wa Mitego anatarajia kuachia wimbo wake mpya uitwao ‘Nimewaka’ ambapo pia ametoa sababu ya kuachia nyimbo mfululizo. Nay akiwasili Mwanza kwenye Fiesta Nay ambaye aliachia wimbo wa Mr Nay hivi karibuni ameiambia Bongo5 kuwa inambidi aachie wimbo mpya ili kuwapa mashabiki muziki ambao adai wanaupenda. “Kiukweli kabisa mimi nina mashabiki wengi na wa aina […]

 

9 years ago

Bongo5

Nisher asema bei mpya anayotoza kushoot video ndio inayowakimbiza wasanii wengi

Nisher7

Mwishoni mwa mwaka 2013 muongozaji wa video nchini, Nisher alikuwa akitoza shilingi milioni 3 kushoot video moja ya muziki, na aliahidi kuongeza bei hadi kufikia dola 4000 pale vifaa vipya alivyoagiza vitakapowasili.

Nisher7

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Nisher amesema kwa sasa anatoza shilingi milioni 10 kwa video moja, ambayo inahusisha gharama zote za utegenezaji kama location, models, malipo ya director pamoja na usambazaji.

“Kwasasa video kwangu ni 10 million (production/director’s...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba atua L.A kushoot video mpya, amtumia choreographer wa Chris Brown, Rihanna, Nicki Minaj na mastaa wengine

12224510_1076638059047429_2140552011_n

Alikiba yupo jijini Los Angeles, Marekani alikoenda kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Lupela.’

12224510_1076638059047429_2140552011_n
Alikiba akiwa na Oththan Burnside (anayeonesha alama ya peace) na dancers kwenye set ya video hiyo jijini Los Angeles, California

Kiba anamtumia choreographer maarufu zaidi nchini humo, Oththan Burnside. Amepost video kwenye Instagram na kuandika, “In L.A And We Are Getting Ready For My Upcoming New Video . In The Makeup Room With My Leading Lady @aliya_janell #kingkiba.”
ALIKIBA KUFANYA KAZI NA...

 

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Beyoncé — 7/11

Alitusurprise kwa kuachia album mpya yenye jina lake mwaka jana, na sasa Beyonce amefanya tena kwa kuachia video ya ngoma yake ‘7/11′ bila hata kutoa taarifa na tayari imekuwa gumzo. Jionee mwenye video hiyo hapo juu.

 

9 years ago

Bongo5

Destiny’s Child kurekodi album mpya, asema baba yake Beyoncé

Mathew Knowles amedai kuwa kundi la Destiny’s Child linaloongozwa na mwanae, Beyoncé – litarekodi album yake mpya na Michelle Williams tayari amethibitisha. Baba yake Beyoncé aliyelisimamia kundi hilo amedai kuwa mipango inaendelea kwa wasichana hao, Michelle, mwanae na Kelly Rowland, kuingia studio na kurekodi album mpya. Mathew aliliambia jarida la Heat kuwa alipokea email kutoka […]

 

9 years ago

Bongo5

Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base

enos4

Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.

enos-2

Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.

enos4

Bongo5...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani