Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bil. 3.2/- kununua mitambo ya ndege 

MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), inatarajia kutumia sh. bilioni 3.2 kununua mitambo miwili ya kisasa ya kuongoza ndege ambayo itasaidia kuboresha huduma hizo na usalama katika anga la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Bil 3/- kununulia mitambo ya kuongoza ndege

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) inatarajia kutumia kiasi cha shilingi bilioni 3.2 katika kununulia mitambo miwili ya kisasa ya kuongoza ndege ambayo itasaidia kuboresha huduma hizo na usalama...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yakopa bil 50/- kununua mahindi

SERIKALI imekopa Sh bilioni 50 katika benki ya CRDB kwa ajili ya kununua mahindi yaliyojazana kwa wakulima nchini, kutokana na kupata mavuno mengi mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Bil 3/- zatengwa kununua kivuko Pangani

Rais Jakaya KikweteSERIKALI imetenga kiasi cha Sh bilioni tatu katika bajeti ya mwaka huu wa fedha kwa ajili ya kununua kivuko cha pili cha Mv Pangani.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Rais Kikwete alipohutubia wakazi wa kijiji cha Bweni wilayani Pangani baada ya kuzindua mradi wa majisafi kijijini hapo.

Alisema lengo la ununuzi wa kivuko hicho ni kuendelea kuboresha huduma ya usafirishaji kwa kurahisisha ufanisi wa shughuli za uchukuzi na kiuchumi wilayani humo.

“Tumeona kuna umuhimu mkubwa wa kuongeza kivuko...

 

5 years ago

Michuzi

USHIRIKA WA CHAURU WAHITAJI BIL.11 KUNUNUA MASHINE YA KUONDOLEA MAJI KWENYE MASHAMBA

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI

USHIRIKA wa Umwagiliaji Ruvu (CHAURU) unaofanya kilimo katika mashamba ya Ruvu ,Kata ya Vigwaza Bagamoyo, Pwani, Unahitaji sh .bilioni. 11 kwa ajili ya kununua mashine ya kuondoa maji kwenye mashamba ya wanachama wake.
Hatua hiyo inalenga kuondokana na changamoto ya mashamba kuingia maji, hasa nyakati za mvua hali inayosababisha kushindwa kuendeleza kilimo.
Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa CHAURU Sadala Chacha, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mitambo ya TANESCO yawasili

AWAMU ya kwanza ya mitambo ya kufua umeme kwa ajili ya mradi namba moja wa Kinyerezi jijini Dar es Salaam imewasili bandarini. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yapokea mitambo ya mawasiliano

JESHI la Polisi nchini limepokea msaada wa mitambo ya redio na mawasiliano yenye gharama ya sh bilioni 2.4. Misaada hiyo iliyotolewa na Serikali ya Marekani itasaidia kupunguza uhalifu na kudhibiti...

 

10 years ago

Habarileo

Mitambo ya kukodi ya Symbion yaondolewa

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Felchesmi MrambaMITAMBO ya kukodi inayotumia mafuta kufua umeme nchini, imemaliza mikataba yake na kuanza kuondolewa nchini na kubaki mmoja wa Aggreko uliopo Ubungo unaozalisha Megawati 50 pekee ambao nao utaondoka miezi mitatu ijayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mitambo ya IPTL itaifishwe - Serukamba

Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM), Peter Serukamba amewataka wabunge wenzake wamuunge mkono ili kuishinikiza Serikali itaifishe mitambo ya mmiliki wa PAP inayosimamia IPTL kwa sasa, Harbinder Singh Sethi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani