Bil. 3.2/- kununua mitambo ya ndegeÂ
MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), inatarajia kutumia sh. bilioni 3.2 kununua mitambo miwili ya kisasa ya kuongoza ndege ambayo itasaidia kuboresha huduma hizo na usalama katika anga la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Bil 3/- kununulia mitambo ya kuongoza ndege
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) inatarajia kutumia kiasi cha shilingi bilioni 3.2 katika kununulia mitambo miwili ya kisasa ya kuongoza ndege ambayo itasaidia kuboresha huduma hizo na usalama...
10 years ago
Habarileo21 Nov
Serikali yakopa bil 50/- kununua mahindi
SERIKALI imekopa Sh bilioni 50 katika benki ya CRDB kwa ajili ya kununua mahindi yaliyojazana kwa wakulima nchini, kutokana na kupata mavuno mengi mwaka huu.
11 years ago
Habarileo13 Jul
Bil 3/- zatengwa kununua kivuko Pangani
SERIKALI imetenga kiasi cha Sh bilioni tatu katika bajeti ya mwaka huu wa fedha kwa ajili ya kununua kivuko cha pili cha Mv Pangani.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Rais Kikwete alipohutubia wakazi wa kijiji cha Bweni wilayani Pangani baada ya kuzindua mradi wa majisafi kijijini hapo.
Alisema lengo la ununuzi wa kivuko hicho ni kuendelea kuboresha huduma ya usafirishaji kwa kurahisisha ufanisi wa shughuli za uchukuzi na kiuchumi wilayani humo.
“Tumeona kuna umuhimu mkubwa wa kuongeza kivuko...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ISIMhKsGNaA/Xrpzs4_jXLI/AAAAAAALp5A/rif3_N-XQm4uwr4Wz-Ws-ULust4rNA3fwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0023.jpg)
USHIRIKA WA CHAURU WAHITAJI BIL.11 KUNUNUA MASHINE YA KUONDOLEA MAJI KWENYE MASHAMBA
USHIRIKA wa Umwagiliaji Ruvu (CHAURU) unaofanya kilimo katika mashamba ya Ruvu ,Kata ya Vigwaza Bagamoyo, Pwani, Unahitaji sh .bilioni. 11 kwa ajili ya kununua mashine ya kuondoa maji kwenye mashamba ya wanachama wake.
Hatua hiyo inalenga kuondokana na changamoto ya mashamba kuingia maji, hasa nyakati za mvua hali inayosababisha kushindwa kuendeleza kilimo.
Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa CHAURU Sadala Chacha, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Mitambo ya TANESCO yawasili
AWAMU ya kwanza ya mitambo ya kufua umeme kwa ajili ya mradi namba moja wa Kinyerezi jijini Dar es Salaam imewasili bandarini. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Polisi yapokea mitambo ya mawasiliano
JESHI la Polisi nchini limepokea msaada wa mitambo ya redio na mawasiliano yenye gharama ya sh bilioni 2.4. Misaada hiyo iliyotolewa na Serikali ya Marekani itasaidia kupunguza uhalifu na kudhibiti...
10 years ago
Habarileo12 Apr
Mitambo ya kukodi ya Symbion yaondolewa
MITAMBO ya kukodi inayotumia mafuta kufua umeme nchini, imemaliza mikataba yake na kuanza kuondolewa nchini na kubaki mmoja wa Aggreko uliopo Ubungo unaozalisha Megawati 50 pekee ambao nao utaondoka miezi mitatu ijayo.
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mitambo ya IPTL itaifishwe - Serukamba