Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bila maridhiano tutapata Katiba ya Mpito

Bunge Maalumu la Katiba liliahirishwa jana asubuhi baada ya kupitisha Kanuni zitakazotumika wakati litakapoanza awamu ya pili kwa kumchagua mwenyekiti wa kudumu na baadaye kujadili Rasimu ya Katiba kabla ya kuandika Katiba Mpya

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

DC: Katiba haitapatikana bila maridhiano

MKUU wa Wilaya ya Kongwa (DC), mkoani Dodoma, Alfred Msovella, amesema kamwe katiba mpya haiwezi kupatikana bila kuwepo na maridhiano ya kweli kwani katiba ni mali ya wananchi na siyo...

 

11 years ago

Michuzi

MISINGI YA USAWA WA JINSIA IKILINDWA KATIKA KATIBA MPYA, TUTAPATA KATIBA YENYE MRENGO WA JINSIA

Baadhi ya Wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba wakiimba kwa furaha wakati wa semina iliyofanyika 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba (wa kwanza kulia) akipitia taarifa ya mapendekezo ya mtandao wa wanawake na Katiba Tanzania wakati wa semina iliyofanyika 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma. Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba Bi. Usu Mallya akitoa mada kuhusiana na suala la kijinsia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Tutapata Katiba mpya salama

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, William Ngeleja, amesema anaamini mchakato wa Katiba mpya utapatikana kwa amani na utulivu. Alisema licha ya baadhi ya wanasiasa kuanza kutoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa Bunge hili na hoja hizi, tutapata katiba inayofaa?

MWANICHEFUA naapa! Mmeenda  Dodoma tukiwa taifa moja, lakini kwa   hisia zenu hizi zilizokosa uzalendo mnaweza mkarudi mkatuachia nchi iliyo vipande vipande. Nasema hata yale ya posho mie wacha tu nikae...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji katiba ya maridhiano

KESHOKUTWA Bunge Maalum la Katiba, lililoahirishwa Aprili 16 mwaka huu, linatarajia kuendelea na vikao vyake bila uwepo wa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). UKAWA walisusia vikao vya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunahitaji katiba yenye maridhiano

MIONGONI mwa habari zilizopo kwenye gazeti hili leo, ni kauli ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, akimtaka Rais Jakaya Kikwete, awaombe radhi Watanzania kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba itapatikana kwa maridhiano

Tangu kuanza kwa Bunge Maalumu la Katiba takriban mwezi mmoja uliopita, tumeshuhudia malumbano yaliyoanza kujenga hisia kuwa pengine Bunge hilo litavunjika.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba ahimiza maridhiano Bunge la Katiba

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba amesema wajumbe wa kundi la walio wengi linaloundwa na wabunge wa CCM na baadhi ya 201 katika Bunge la Katiba hawawezi kupitisha Katiba kwa kuwa hakuna maridhiano

 

11 years ago

Tanzania Daima

SCOC wataka maridhiano Bunge la Katiba

KAMATI Maalumu ya Wataalamu wa Katiba (SCOC) imetaka mamlaka ya juu ya nchi kuutafutia suluhu mgogoro uliosababisha wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge Maalumu la Katiba....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani