Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilal asifia Tamwa

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal alisema serikali itaendelea kuthamini mchango wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) katika kufikia malengo ya kupunguza umasikini mchini (MKUKUTA) na (MKUZA) na kuleta usawa wa kijinsia katika jamii mbalimbali nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

TAMWA hails Bilal over financial support


TAMWA hails Bilal over financial support
Daily News
TANZANIA Media Women's Association (TAMWA) has applauded Vice-President Dr Mohamed Bilal for his 10m/- contribution during a fundraising event and for offering to sponsor two children whose parents are not able to pay school fees. According to a ...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Mkwasa asifia kiwango Stars

KOCHA wa Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ Boniface Mkwasa ameelezea kufurahishwa na matokeo waliopata juzi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) dhidi ya Nigeria katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Timu hizo zilitoka sare ya 0-0. Stars wapo nafasi ya tatu katika kundi D baada kupata pointi moja katika michezo miwili waliocheza. Awali walicheza na Misri na kufungwa mabao 3-0 ugenini.

Mkwassa alisema amefurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa na kikosi...

 

10 years ago

Habarileo

Kocha wa Simba asifia KMKM

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba Dylan Kerr ameimwagia sifa klabu ya KMKM kutokana na kiwango cha wachezaji wake walichokionesha katika mchezo wa kirafiki kati yao uliochezwa juzi. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye uwanja wa Amani Simba ilishinda mabao 3-2.

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli asifia uongozi wa Rais Kikwete

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, amekiongoza chama hicho kwa misingi imara iliyodumisha umoja na mshikamano. Amesema iwapo Watanzania watamchagua kuwa rais, atasimamia ilani ya uchaguzi ijayo na kwamba hatawaangusha.

 

9 years ago

Bongo5

Uhuru Kenyatta asifia demokrasia ya Tanzania

11207351_1166208840074334_7111082718879989795_n

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameipongeza Tanzania kwa namna ilivyoonesha ukomavu katika demokrasia baada ya uchaguzi.

11207351_1166208840074334_7111082718879989795_n

Kenya alikuwa mmoja wa viongozi wa Afrika waliohudhuria kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Dokta John Magufuli.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Kenyatta ameandika:

I joined other Heads of State and Government for a state luncheon at State House gardens in Dar es Salaam following a colourful swearing-in ceremony of Dr. John Pombe Magufuli as the fifth...

 

10 years ago

GPL

MUME ASIFIA PENZI LA MISS TANZANIA

Imelda Mtema/mchanganyiko
ALIYEKUWA mume wa mwanamitindo maarufu Bongo, Jacqueline Patrick, ambaye kwa sasa yuko jela nchini China, Abdulatif Fundikira amesifu penzi analopata kutoka kwa mkewe ambaye alikuwa Miss Tanzania 2010, Salha Israel. Miss Tanzania 2010, Salha Israel siku ya ndoa yake. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, kijana huyo maarufu kama Tiff, alisema hajawahi kujua utamu wa ndoa kama sasa kwani mapenzi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais Buhari asifia jeshi lake

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema jeshi la nchi yake liimepata mafanikio katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete asifia uhusiano wa Tanzania na Afrika Kusini

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesifia uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Afrika Kusini, akisema haujapata kuwa mzuri zaidi ya ulivyo sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Kocha Marekani asifia uwezo wachezaji wake

Kocha wa timu ya taifa ya Marekani, Jurgen Klinsmann amekipongeza kikosi chake licha ya kutolewa katika hatua ya mtoano ya timu 16 za Kombe la Dunia dhidi ya Ubelgiji, akisema wana nafasi ya kufanya makubwa katika siku zijazo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani