Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilioni 154/- za daraja la Selander zasainiwa

SERIKALI imesaini mkataba wa makubaliano ya mkopo wa Dola za Marekani milioni 91.032 sawa na Sh bilioni 154.39 na Serikali ya Korea kwa ajili ya ujenzi wa daraja jipya la Selander jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi daraja la Selander mwakani

>Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema hatua ya awali ya mchakato wa ujenzi wa Daraja la Selander unaendelea vizuri na muda wowote kuanzia mwakani litaanza kujengwa.

 

10 years ago

Habarileo

Korea Kusini kutoa fedha za daraja jipya Selander

Balozi wa Jamhuri ya Korea Kusini nchini, Chung IlSERIKALI ya Jamhuri ya Korea ya Kusini hatimaye imekubali kutoa fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi wa daraja jipya la kisasa la Selander.

 

10 years ago

TheCitizen

By-pass for Selander bridge

The government has secured Sh110 billion to construct a by-pass bridge along Ali Hassan Mwinyi road in one of several projects to de-congest the city.

 

11 years ago

GPL

WAHOLANZI 154 WAPOTEZA MAISHA KATIKA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOLIPULIWA NA KUUA 298

Ndege ya Malysia aina ya Boeing 777-200 ikiteketea kwa moto baada ya kulipuliwa. Mmoja wa waasi wanaoiunga mkono Urusi akiwa eneo la ndege iliyolipuliwa.…

 

5 years ago

Michuzi

ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 154 ZATUMIKA KUJENGA VYUMBA VITATU VYA MADARASA,UKARABATI WA SHULE WILAYANI TANDAHIMBA

Zaidi ya shilingi Milioni 154 zimetumika kujenga vyumba vitatu vya madarasa na kukarabati shule ya Msingi Luagala 'B' Wilayani Tandahimba

Akizindua madarasa hayo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba amesema madarasa hayo yamewekwa na madawati tayari kwa wanafunzi kuendelea na masomo

"Tumezindua madarasa haya lakini pia wametukabidhi shule ikiwa katika muonekano unaovutia  ambapo kazi hii imefanywa na taasisi ya Eclat na Upendo ,"amesema Waryuba

Naye Mwenyekiti wa taasisi ya Eclat...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA TOYOTA RAV 4 ILIYOTEKETEA KWA MOTO SELANDER BRIDGE

Gari hili aina ya Toyota Rav 4 likiteketea kwa moto maeneo Selander Bridge jijini Dar es Salaam jana. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715…

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi

 Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la kuandaa kitabu cha viashiria hatarishi (Risk Registry) vya Wizara ya Madini iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Madini Dodoma leo Mei 18, 2020. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila na Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Augustine Ollal. (Picha na Wizara ya Madini).  Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani