Bilioni 154/- za daraja la Selander zasainiwa
SERIKALI imesaini mkataba wa makubaliano ya mkopo wa Dola za Marekani milioni 91.032 sawa na Sh bilioni 154.39 na Serikali ya Korea kwa ajili ya ujenzi wa daraja jipya la Selander jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Ujenzi daraja la Selander mwakani
>Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema hatua ya awali ya mchakato wa ujenzi wa Daraja la Selander unaendelea vizuri na muda wowote kuanzia mwakani litaanza kujengwa.
10 years ago
Habarileo05 Mar
Korea Kusini kutoa fedha za daraja jipya Selander
SERIKALI ya Jamhuri ya Korea ya Kusini hatimaye imekubali kutoa fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi wa daraja jipya la kisasa la Selander.
10 years ago
TheCitizen19 Nov
By-pass for Selander bridge
The government has secured Sh110 billion to construct a by-pass bridge along Ali Hassan Mwinyi road in one of several projects to de-congest the city.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppBtxPmw3Nd6JkOQPStRAlmNWB0TJIFsJIgsHKcHqJ0vUfY78JQp3Byoz018iTg6txReLB0KjJb1DC3DRYLqaw*P/1.jpg?width=650)
WAHOLANZI 154 WAPOTEZA MAISHA KATIKA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOLIPULIWA NA KUUA 298
Ndege ya Malysia aina ya Boeing 777-200 ikiteketea kwa moto baada ya kulipuliwa. Mmoja wa waasi wanaoiunga mkono Urusi akiwa eneo la ndege iliyolipuliwa.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dZ3OhqigiwM/XlYAqf_k8MI/AAAAAAAEFyQ/_RP2bC5YMuADqtoY2fffWUUAfDNZJhHzACLcBGAsYHQ/s72-c/5f862bf5-7543-4aa3-857b-df13ff516d68.jpg)
ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 154 ZATUMIKA KUJENGA VYUMBA VITATU VYA MADARASA,UKARABATI WA SHULE WILAYANI TANDAHIMBA
Zaidi ya shilingi Milioni 154 zimetumika kujenga vyumba vitatu vya madarasa na kukarabati shule ya Msingi Luagala 'B' Wilayani Tandahimba
Akizindua madarasa hayo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba amesema madarasa hayo yamewekwa na madawati tayari kwa wanafunzi kuendelea na masomo
"Tumezindua madarasa haya lakini pia wametukabidhi shule ikiwa katika muonekano unaovutia ambapo kazi hii imefanywa na taasisi ya Eclat na Upendo ,"amesema Waryuba
Naye Mwenyekiti wa taasisi ya Eclat...
Akizindua madarasa hayo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Sebastian Waryuba amesema madarasa hayo yamewekwa na madawati tayari kwa wanafunzi kuendelea na masomo
"Tumezindua madarasa haya lakini pia wametukabidhi shule ikiwa katika muonekano unaovutia ambapo kazi hii imefanywa na taasisi ya Eclat na Upendo ,"amesema Waryuba
Naye Mwenyekiti wa taasisi ya Eclat...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3mS2Z4zLOgWB9PxOEiD8ZD28Jtw*0syWgLMSsfPEu4mW9uzjlVrF53NPgxwPBD0oZGNPwLmDwJ22OesHhEg0xM/RAV42.jpg)
TASWIRA ZA TOYOTA RAV 4 ILIYOTEKETEA KWA MOTO SELANDER BRIDGE
Gari hili aina ya Toyota Rav 4 likiteketea kwa moto maeneo Selander Bridge jijini Dar es Salaam jana. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715…
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania