Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilioni 17/- Bima zazua utata

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeitaka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalum wa sh bilioni 17 kwa Shirika la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nyumba za Serikali zazua utata

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya imegundua viwanja na nyumba zaidi ya 10 za Serikali zikitumiwa na watu binafsi katika mazingira ya kutatanisha.

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto aibua utata wa Sh bilioni 821 bomba la gesi

zittoNa Fredy Azzah, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, ameibuka tena na utata wa Sh bilioni 821 ambazo Serikali ya Tanzania imelieleza Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kwamba imezitumia katika mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Mradi huo unaogharimu dola za Marekani bilioni 1.55, kati yake asilimia 95 ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Benki ya Exim ya China na asilimia 5 ni fedha zitakazotolewa na Serikali...

 

11 years ago

Mwananchi

Bima Lee: Bendi ya Shirika la Bima iliyotamba kwa mtindo wa Magnet Tingisha

Muziki wa dansi nchini una historia pana ikiwahusisha wanamuziki, kazi zao na bendi walizowahi kupitia kama ajira lakini pia kukua kimuziki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mila zazua mtafaruku makaburini

Matafaruku mkubwa umetokea baada ya ndugu wa marehemu, kumpasua tumbo ndugu yao na kumuwekea kifaranga cha kuku wakati akizikwa.

 

10 years ago

Habarileo

Daladala zazua taharuki Mwanza

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoWAKAZI wa jiji la Mwanza jana wamekumbana na taharuki baada ya barabara ya Nyerere kushindwa kupitika kufuatia madereva wa daladala yanayofanya safari zake kati ya Airport, Bwiru – Igoma/Kishiri kuegesha kwenye barabara hiyo hivyo kusababisha msongamano wa magari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chupi zazua kihoha Bungeni

Mbunge mmoja nchini Zimbabwe amezua kizaazaa bungeni alipotumia chupi za kina mama kusisitiza hatma ya raia masikini wa nchini hiyo ambao hawana uwezo wa kununua chupi mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Tiketi za elektroniki zazua jambo

>Bodi ya Ligi (PTL) inayosimamia Ligi Kuu Bara, imeamua kuingilia kati suala la kutumika kwa tiketi za elektroniki baada ya kuomba kupata taarifa ya fedha zinazoingia kutokana na mauzo ya tiketi.

 

11 years ago

GPL

TUZO ZA DIAMOND ZAZUA BALAA!

Stori: Musa Mateja
ZILE tuzo saba alizotwaa nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwenye mkesha wa Jumapili iliyopita ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam zimezua balaa! Ni balaa gani hilo? Risasi Jumatano linakumegea. Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akipokea tuzo kutoka kwa Wema Sepetu. Kwa mujibu wa chanzo makini, baadhi ya ndugu wa Diamond walicharuka kufuatia...

 

11 years ago

Mwananchi

Tiketi za elektroniki zazua balaa

>Utoaji tiketi za ki-eletroniki kwenye mechi ya kirafiki iliyozikutanisha timu za Mbeya City na Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, umeingia dosari baada ya wengi kutoingia uwanjani kwa madai ya kukosa tiketi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani