Zitto aibua utata wa Sh bilioni 821 bomba la gesi
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, ameibuka tena na utata wa Sh bilioni 821 ambazo Serikali ya Tanzania imelieleza Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kwamba imezitumia katika mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Mradi huo unaogharimu dola za Marekani bilioni 1.55, kati yake asilimia 95 ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Benki ya Exim ya China na asilimia 5 ni fedha zitakazotolewa na Serikali...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-lx00DdH3xxw/VKp1P89lIzI/AAAAAAAG7YQ/p56fEYTa1lU/s1600/CSC_0375.jpg)
TPDC YATUMIA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 1.225 KWA AJILI YA MRADI WA BOMBA LA GESI
11 years ago
Mwananchi26 Jan
‘Waliopitiwa na bomba la gesi wanufaike pia ’
10 years ago
Michuzi04 Jan
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EKhpNfTXroA/UzQgyNDJnVI/AAAAAAAFWxU/EbOlvcB3nF8/s72-c/unnamed+(31).jpg)
UTANDAZAJI WA BOMBA LA GESI KUKAMILIKA JULAI
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Pinda kukagua ujenzi bomba la gesi
11 years ago
Mwananchi23 May
Mitaa kikwazo usambazaji bomba la gesi
10 years ago
Habarileo09 Jan
Bomba la gesi asilia litaokoa trilioni 1.6/-
MRADI wa ujenzi wa bomba la gesi asilia, utaleta manufaa makubwa kwa taifa na wananchi wake, ikiwemo utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2015 na utasaidia kuokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka.
11 years ago
Habarileo26 Jan
Vijiji vya Bomba la Gesi kupewa umeme
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema njia pekee ya kuondokana na hujuma dhidi ya bomba la gesi linalosafirisha gesi Mtwara - Dar es Salaam ni kuviwekea umeme vijiji vyote bomba hilo linamopita. Hivyo ameigiza Wizara ya Nishati na Madini kuhakikisha inatenga fedha kila mwaka kwa ajili ya miradi ya umeme katika maeneo hayo ili wananchi wajione ni sehemu ya mradi huo badala ya kuona bomba la gesi linapita bila kuwa na manufaa nalo.