Blatter amfuta kazi bosi Fifa
ZURICH, USWISI
MKURUGENZI wa Mawasiliano wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Walter De Gregorio, amefutwa kazi baada ya kutoa maneno yenye utani kuhusu shirikisho hilo kwenye televisheni ya Uswisi.
Gregorio alizungumza kwenye kipindi cha Schawinski kuwa: “Rais wa Fifa, Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa Mawasiliano wote wanasafiri kwenye gari. Nani ni dereva? Jibu ni polisi.”
Fifa imetangaza jana kwenye taarifa yao kuwa De Gregorio ameamua “kuachia madaraka kwenye ofisi yake”.
Lakini inaaminika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Oct
Kamati ya maadili ya FIFA yataka Blatter na Platini wasimamishwe kazi kwa siku 90
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mugabe amfuta kazi makamu wake
10 years ago
Habarileo20 Sep
Museveni amfuta kazi Waziri Mkuu
RAIS wa Uganda Yoweri Museveni amemfuta kazi Waziri Mkuu na mtu wake wa karibu, Amama Mbabazi. Taarifa ya Ikulu kwa vyombo vya habari ilisema Rais Museveni alimshukuru Mbabazi kwa mchango wake kwa nchi ya Uganda, ambapo pia alimtangaza mrithi wa kiti hicho cha Waziri Mkuu kuwa ni Ruhakana Rugunda ambaye sasa anasubiri kuidhinishwa na bunge.
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Museveni amfuta Waziri mkuu Kazi
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Rais Museveni amfuta kazi Waziri mkuu
10 years ago
Vijimambo10 Dec
Rais Mugabe amfuta kazi makamu wake
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/09/141209103755_joyce_mujuru_624x351__nocredit.jpg)
Taarifa kutoka nchini Zimbabwe zinasema kuwa Rais Robert Mugabe amemfuta kazi makamu wake Joice Mujuru, kufuatia ushindani wa uongozi katika chama tawala cha ZANU-PF.
Awali Bi Joyce Mujuru, alikanusha madai kuwa yeye ni mfisadi na alihusika na njama ya kutaka kumuua rais Robert Mugabe.
Bi Mujuru alilaaniwa na Rais Mugabe wiki iliyopita na kuondolewa kutoka wadhifa wake wa makamu wa rais wa chama tawala cha ZANU-PF wakati wa kongamano la chama hicho mjini Harare.
Amesema ameendelea kupokea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuAmb0laZGkG4MQlYjjLfENFtvv94vtH1CV5jlOIYudSl*srVuSUhDh9RRxiZMF*aWUx40uDWP3vp19RO24rns35/sepp.jpg?width=650)
BLATTER AJIUZULU FIFA
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Blatter kujiuzulu Fifa