Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter amfuta kazi bosi Fifa

Press-Conference-at-FIFA-headquartersZURICH, USWISI
MKURUGENZI wa Mawasiliano wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Walter De Gregorio, amefutwa kazi baada ya kutoa maneno yenye utani kuhusu shirikisho hilo kwenye televisheni ya Uswisi.
Gregorio alizungumza kwenye kipindi cha Schawinski kuwa: “Rais wa Fifa, Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa Mawasiliano wote wanasafiri kwenye gari. Nani ni dereva? Jibu ni polisi.”
Fifa imetangaza jana kwenye taarifa yao kuwa De Gregorio ameamua “kuachia madaraka kwenye ofisi yake”.
Lakini inaaminika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kamati ya maadili ya FIFA yataka Blatter na Platini wasimamishwe kazi kwa siku 90

Kamati ya maadili katika shirikisho la soka duniani FIFA imependekeza Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter asimamishwe kazi kwa siku 90, yeye pamoja na Rais wa UEFA Michel Platini ili kupisha uchunguzi wa ubadhilifu wa fedha wa wakati wa kipindi cha utawala wa Blatter. Wanachama wa kamati hiyo walikutana wiki hii baada […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Mugabe amfuta kazi makamu wake

Rais Robert Mugabe amemfuta kazi makamu wake Joice Mujuru, kufuatia ushindani wa uongozi katika chama tawala cha ZANU-PF.

 

10 years ago

Habarileo

Museveni amfuta kazi Waziri Mkuu

RAIS wa Uganda Yoweri Museveni amemfuta kazi Waziri Mkuu na mtu wake wa karibu, Amama Mbabazi. Taarifa ya Ikulu kwa vyombo vya habari ilisema Rais Museveni alimshukuru Mbabazi kwa mchango wake kwa nchi ya Uganda, ambapo pia alimtangaza mrithi wa kiti hicho cha Waziri Mkuu kuwa ni Ruhakana Rugunda ambaye sasa anasubiri kuidhinishwa na bunge.

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni amfuta Waziri mkuu Kazi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amefuta kazi waziri mukuu wake Amama Mbabazi kazi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa kampuni ya reli Tanzania (RAHCO) Benhadard Tito.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Museveni amfuta kazi Waziri mkuu

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amemfuta kazi waziri mkuu, Amama mbabazi na kumteua Dk Ruhakana Rugunda kushika wadhifa huo .

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Mugabe amfuta kazi makamu wake


Taarifa kutoka nchini Zimbabwe zinasema kuwa Rais Robert Mugabe amemfuta kazi makamu wake Joice Mujuru, kufuatia ushindani wa uongozi katika chama tawala cha ZANU-PF.

Awali Bi Joyce Mujuru, alikanusha madai kuwa yeye ni mfisadi na alihusika na njama ya kutaka kumuua rais Robert Mugabe.

Bi Mujuru alilaaniwa na Rais Mugabe wiki iliyopita na kuondolewa kutoka wadhifa wake wa makamu wa rais wa chama tawala cha ZANU-PF wakati wa kongamano la chama hicho mjini Harare.

Amesema ameendelea kupokea...

 

10 years ago

GPL

BLATTER AJIUZULU FIFA

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...

 

10 years ago

Mwananchi

Blatter kujiuzulu Fifa

Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani