Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BMT YAPONGEZA KILIMANJARO PREMIUM LAGER KWA UDHAMINI WA AINA YAKE

 Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Hamisi Kigwangalla akikabidhi hundi kwa mshindi wa mbio za Km 42 upande wa wanawake, Lydia Wafula (kulia) huku Mkurugenzi wa Masoko wa TBL Group, Doreen Tumubeebire akishuhudia. Kilimanjaro Premium Lager imekuwa mdhamini wa mbio hizi kwa miaka 18 sasa.
Mshindi wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager 42 km Kiplagat Kiplimo. Mbio za mwaka huu za km 42 ziliwavutia wengi huku namba zikiisha kabla ya tarehe ya mwisho iliyotangazwa

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT),...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

uzinduzi rasmi wa kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 inayoendeshwa na Kilimanjaro Premium Lager

Viongozi wa timu za Simba na Yanga, Geofrey Nyange Kaburu, kushoto ambaye ni Makamu wa Rais Simba na Mohamed Bhinda, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Yanga (kulia) wakivuta kamba kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya Nani Mtani Jembe 2 inayoendeshwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager. Uzinduzi huo rasmi kwa wadau wa Simba na Yanga ulifanyika leo kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam.Katikati ni Meneja wa bia hiyo, George Kavishe na Mkurugenzi wa Masoko wa TBL, Bi...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa programu ya Safari Wezeshwa msimu wa nne uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Jaji wa programu hiyo, Joseph Migunda. Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akiwaonyesha kipeperushi kinachoonyesha kitika cha shilingi 2200,000 000/= zitakazogawiwa kwa wajasiliamali wakati wa uzinduzi wa programu ya Safari Wezeshwa msimu wa nne...

 

10 years ago

Michuzi

BALIMI EXTRA LAGER YATANGAZA RASMI UDHAMINI WA MASHINDANO YA MBIO ZA MITUMBWI KANDA YA ZIWA KWA MWAKA 2014

Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mbio za Mitumbwi Kanda ya Ziwa, zijulikanazo kama “Balimi Boat Race” iliyofanyiak Dar es Salaam leo.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KILIMANJARO YAPONGEZA JITIHADA ZA WAFANYABIASHARA KUTANGAZA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimvisha taji,mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai mara baada ya kufanikiwa kufika katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akimkabidhi cheti mfanyabiashara mashuhuri,Vicent Laswai kwa niaba ya hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA ) mara baada ya kufanikiwa kufika katika kilele cha Mlima Kilimanjaro.
RC Gama akikabidhi zawadi za T-shirt kutoka KINAPA kwa mke wa...

 

10 years ago

Michuzi

KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, 33,780 WAMDHAMINI


Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 18, 2015, wakati shukrani kwa udhamini wa kishindo alioupata kutoka wa WanaCCM hao, ili aweze kupata ridhaa ya Chama chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wanaCCM 33,780. Picha Othman Michuzi.Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za wanachama 33,780 wa CCM Mkoa...

 

10 years ago

Vijimambo

KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, WANACCM 33,780 WAMDHAMINI

Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za wanachama 33,780 wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, waliomdhani ili aweze kupata ridhaa ya Chama chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Anaekabidhi fomu hizo ni Katibu wa CCM Wilaya ya Moshi Mjini, Loth Ole Nesele.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI


Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 18, 2015, wakati...

 

10 years ago

Michuzi

Kahawa ya Kilimanjaro Premium Brand yazidi kuing'arisha Tanzania nchini Japan

pichani ni Mhe, Balozi Salome Sijaona (wa pili kushoto) akiwa na ujumbe wa Kampuni ya M.M.C wauzaji wa Kahawa ya Kilimanjaro Premium Brand kutoka Tanzania nchini Japan, na watumishi wengine wa Ubalozi, M.MC walifika  Ofisi za Ubalozi kuelezea mafanikio ya mauzo ya kahawa hii maalum ya Tanzania kwenye treini.
Ujumbe wa M.M.C ulieleza kuwa siku ya kwanza ya kampeni hii maalum kwa Tanzania na Tokaido Shinkasen jumla ya vikombe vya kawahawa 9999 viliuzwa, na kumbe mauzo yanaongezeka siku baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

coca cola yaitangaza TANZANIA kwa aina yake

Kampuni ya CocaCola imetengeneza kopo la kinywaji cha coca cola maalumu kwa kuitangaza TANZANIA

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Wolper Awakuna Wengi kwa ‘Style’ Hii ya Aina Yake

Staa wa Bongo Movies  ambaye anasifika kwa urembo na kazi zake, Jacqueline Wolper hivi juzi kati kwenye ukurasa wake  mtandaoni alibandika picha hizo hapo juu akiwa amevalia style ambayo iliwafanya mashabiki wengi bonyeze kitufe cha LIKE na kushusha comment nyingi huku kila mtu akielezea ni jinsi gani ameguswa na mtindo huo aliotupia.

Kwa maneno ya lugha yta malkia, Wolper aliandika “Fashion is just another accessory for someone with great style...” na kuweka picha hizo.

Japo wengi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani