Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BODABODA KIBANONI POSTA

Polisi jamii wakiwa wamekamata Pikipiki. KAMERA ya GPL imenasa tukio la dereva boda boda akiwa amekamatwa na polisi jamii, baada ya kuingia maeneo ya Posta, jijini Dar es Salaam, huku sheria zikiwa zimekataza kwa waendesha bodaboda kuingia au kufanya biashara maeneo ya mjini. (abari/Picha: Gabriel Ng’osha/GPL) 

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ZOEZI KUKAMATA BODABODA ZINAZOINGIA POSTA, KARIAKOO LAENDELEA

Askari akitaka kuona leseni ya bodaboda. Jamaa akijitayarisha kutoa leseni.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam

Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...

 

10 years ago

Michuzi

JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA

 Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1. Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo Mshambuliaji wa timu ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Posta Tabora watoa msaada

SHIRIKA la Posta mkoani Tabora,  wametembelea kituo cha watu wasiojiweza  cha Kanisa Katoliki kilichoko katika manispaa ya Tabora na kutoa misaada ya  mbalimbali. Misaada waliyotoa ni Juisi katoni tatu, sukari...

 

10 years ago

GPL

NISHA AWACHEZEA WANAFUNZI POSTA

Stori: Shani Ramadhani
MWANADADA anayefanya poa katika tasnia ya filamu za Kibongo Salma Jabu ‘Nisha’ hivi karibuni alilazimika kuwachezea wanafunzi waliomtaka kufanya hivyo wakati wao wakimuimbia katika maeneo ya Posta, jijini Dar es Salaam. Mwanadada anayefanya poa katika tasnia ya filamu za Kibongo Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na gazeti hili, Nisha alisema aliteremka kwenye gari kwa ajili ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Posta kuendelea kuboresha huduma

SHIRIKA la Posta Tanzania limewaomba watumiaji na wananchi kwa ujumla waendelee kuwa na imani na huduma za posta. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daladala kurejea Posta, Kivukoni

MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imetangaza kurejesha safari za daladala kwenda Kivukoni mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Mfawidhi...

 

9 years ago

Global Publishers

Nelly Muosha Magari wa Posta-19

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly alipoulizwa na fundi Yassin alijisikiaje kufanya kazi ya ufundi ambapo kijana huyo alimwambia alijisikia vizuri kwani mtoto wa kiume hapaswi kuchagua kazi. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huu…

“Kama ni hivyo, poa sana tena kadiri tutakavyokuwa pamoja nitakufundisha kazi kibao,” fundi Yassin alimwambia Nelly.

Kwa kuwa gari lilikuwa likienda kwa kasi, kufumba na kufumbua walifika Tegeta ambapo walipanda basi la kuelekea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Huduma za Posta zarejeshwa Somalia

Serikali ya Somalia imezindua huduma yake ya kwanza ya posta katika kipindi cha zaidi ya miongo miwili nchini kote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani