Bodi yalaani TV kuzuiwa Yanga vs Ashanti
SIKU moja baada ya uongozi wa Azam TV kuwazuia waandishi wa habari wa runinga kupiga picha katika mechi ya Yanga na Ashanti United, Bodi ya Ligi imelaani kitendo hicho. Katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Yanga yajipigia Ashanti United
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, jana walianza vizuri raundi ya pili ya ligi hiyo baada ya kuwafunga Ashanti Utd ya Ilala mabao 2-1 katika mechi kali iliyochezwa katika...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Bodi ya Ligi yaionya Yanga
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PBvBvxMVroQ/VPXu6LtKz3I/AAAAAAAHHW4/glmAsdBoamc/s72-c/jerry-muro-massawe.jpg)
Yanga yaishukia bodi ya Ligi,yagomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu
![](http://1.bp.blogspot.com/-PBvBvxMVroQ/VPXu6LtKz3I/AAAAAAAHHW4/glmAsdBoamc/s1600/jerry-muro-massawe.jpg)
Uongozi wa Klabu ya Yanga umeishukia bodi ya Ligi kwa kile walichodai kuwa wamechakachua kanuni kwa kuiruhusu Timu ya Simba kumtumia mchezaji Ibrahimu Hajibu na kuitaka sheria zichukue mkondo wake huku wakigomea mechi yao dhidi ya JKT Ruvu kusogezwa mbele.
Akizungumza kwenye Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Msemaji wa Yanga Jerry Muro amesema Bodi ya Ligi inayumbisha soka la Tanzania kwa kupindisha sheria na kitendo walichofanya ni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s72-c/1028.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA KOROSHO TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QQNan3ItOjw/VSaJW7kDNQI/AAAAAAAHPzc/u14_HtHAcng/s1600/1028.jpg)
Aidha, Mhe. Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Bodi hiyo ya Wakurugenzi kwa mujibu wa kifungu cha 4(1) cha Sheria ya Korosho ya mwaka 2009 (Sura ya 203 ya...
10 years ago
Mtanzania13 May
Siri ya Mbowe Kuzuiwa
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, jana Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, alizuiwa kumaliza kusoma hotuba yake ambayo ndani yake ilikuwa ikiwalipua vigogo waliohusika na uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow huku akieleza kilichojificha ndani ya kashfa ya mtambo wa kufua umeme wa Dowans na Richmond.
Amesema suala hilo la Dowans na Richmond, lilichochewa na makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , na sasa...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa