Bomoabomoa kuteketeza Sh120 bilioni
Uvamizi kwenye maeneo ya wazi, mabondeni na fukwe pamoja na udhaifu katika usimamizi wa sheria za makazi, utasababisha Sh120 bilioni kupotea wakati wa utekelezaji wa uamuzi wa kubomoa nyumba zilizojengwa kiholela kwenye maeneo hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Jun
MIL 96 KUTEKETEZA BATA LA YANGA
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2742500/highRes/1029047/-/maxw/600/-/gg933lz/-/03-Bata+la+Ynag.jpg)
Sherehe hizo zimepangwa kufafanyika Juni 16 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam na zitaenda sambamba na utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora na uzinduzi wa kitabu cha Historia ya Yanga kilichoandikwa na Peter Ching’ole.MAMBO ya fedha bwana! Klabu ya Yanga inatarajiwa kutumia kiasi cha Sh96 milioni kwa ajili ya sherehe zake za ubingwa wa Ligi Kuu Bara ilioutwaa hivi karibuni.
Sherehe hizo zimepangwa kufafanyika Juni 16 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam na...
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ufaransa kuteketeza pembe za Ndovu
Tani tatu za pembe za Ndovu zitateketezwa hii leo Nchini Ufansa ili kuonyesha kujitolea kwa serikali ya taifa hilo katika vita dhidi ya biashara hiyo haramu.
11 years ago
Mwananchi26 Feb
TBS kuteketeza juisi za Smile Dar
 Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linakusudia kuteketeza kinywaji chenye ladha ya matunda (juisi) kijulikanacho kwa jina la Smile, baada ya kubaini kuwa hakina viwango vinavyohitajika.
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Moto waendelea kuteketeza Milima ya Uluguru
Moto umeendelea kuiteketeza Milima ya Uluguru kwa zaidi ya siku tano sasa licha ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na wahifadhi za kuuzima kushindikana, huku wananchi wanaoishi na kufanya shughuli za kibinadamu katika milima hiyo wakiendelea kuchoma moto.
11 years ago
Mwananchi05 May
Majangili wazidi kuteketeza tembo Tarangire
Tembo wanane katika Hifadhi ya Tarangire mkoani hapa wameuawa katika kipindi cha Novemba 2013 hadi sasa huku meno 17 ya tembo yakikamatwa katika operesheni inayoendelea kufanywa na askari wa hifadhi hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8Icmvqfo*BMtMwSo5cJ6YSnP4QQlE9Y94BCBynFVVRBMDZEaSinf61eggNZ2G0XOxOnZrQsBfnGQcXMt74ueVJWYy/MOTO3.jpg)
UPDATES: MOTO BADO UNAENDELEA KUTEKETEZA MALI KATIKA JENGO LA RK
Moshi mkubwa ukitoka katika jengo la RK. MOTO bado ni mkubwa na unaendelea kuteketeza mali katika jengo la RK lililopo Jet Barabara ya Nyerere japo vikosi mbalimbali vya Zimamoto vipo vikiendelea kujaribu kuzuia moto huo. Magari yenye maji yanazidi kuongezwa eneo la tukio ambapo watu ni wengi wanaoshuhudia tukio hilo. Mpaka sasa hakuna mtu yeyote aliyeripotiwa kupoteza maisha wala kujeruhiwa katika tukio… ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9f_Ln8mupI/UyGq_BjHETI/AAAAAAAFTaA/WnhivpFu2zw/s72-c/1.jpg)
TFDA KUTEKETEZA VIPODOZI VISIVYOFAA VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 188
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9f_Ln8mupI/UyGq_BjHETI/AAAAAAAFTaA/WnhivpFu2zw/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VD0LPAHMc8Q/UyGrA1i7PFI/AAAAAAAFTaM/kAXg39z31Qs/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nsOC9tcJXaU/UyGrAvUn4jI/AAAAAAAFTaI/8rNewOgoNXE/s1600/3.jpg)
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Bomoabomoa yasitishwa
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira (Nemc), imesitisha ubomoaji wa nyumba zilizojengwa katika Bonde la Mto Msimbazi ili kuwapa nafasi wakazi kuhama na kuokoa mali zao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania