Bonanza la Taswa Desemba 12
BONANZA Maalumu linaloandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa) litafanyika Desemba 12 mwaka huu jijini Dar es Salaam, imeelezwa. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Taswa Amir Mhando, bonanza hilo litahusisha waandishi na wafanyakazi wa vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Sep
TUZO ZA TASWA KUFANYIKA DESEMBA 12 MWAKA HUU
TUZO za Wanamichezo Bora wa Tanzania zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) zinatarajiwa kufanyika Desemba 12 mwaka huu, huku Kampuni ya Said Salim Bakhresa (SSB) Group Limited ikijitokeza kuwa mdhamini mshiriki wa tuzo hizo kwa kutoa Sh. Milioni 10. Akizungumza na waandishi wa habari katika mgahawa wa City Sports Lounge, Dar es Salaam katika hafla ya kutangaza udhamini huo jana, Meneja Mkuu wa SSB Limited, Said Muhammad Said alisema wameamua kudhamini tuzo...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
AJTC yang’ara bonanza la Taswa Arusha
TIMU ya Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha (AJTC), kimefanikiwa kung’ara kwenye bonanza la Kanda ya Kaskazini lililoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Mkoa wa...
10 years ago
Michuzi
MSHINDI WA BONANZA LA TASWA KUONDOKA NA MAMILIONI YA FEDHA


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la 10 la vyombo vya...
10 years ago
Michuzi
Taswa FC yatinga nusu fainali Asas Dairies bonanza

11 years ago
Michuzi
JUMA PINTO MGENI RASMI KATIKA BONANZA LA TASWA ARUSHA


10 years ago
Vijimambo
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA



Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania