MSHINDI WA BONANZA LA TASWA KUONDOKA NA MAMILIONI YA FEDHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-r4gQTfWXyik/Vd3x4CaacCI/AAAAAAAAPZo/nZyk6GFATRw/s72-c/20150821_171941.jpg)
Katibu wa taswa mkoa wa Arusha Akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na tamasha la waandishi Agosti 29 uwanja wa kheikh Amri abeid mgeni rasmi mkuu wa mkoa wa Arusha, Filex Ntibenda, kati kati mwenyekiti wa taswa mkoa Arusha, Jamila omar, Meneja matukio ya kampuni ya bia nchini TBL Chris Sarakana ambao wadhamini wakuu, na makamu mwenyekiti wa taswa Arusha, Andrea Ngobole
.
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la 10 la vyombo vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo31 Aug
Bonanza la Taswa Desemba 12
BONANZA Maalumu linaloandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa) litafanyika Desemba 12 mwaka huu jijini Dar es Salaam, imeelezwa. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Taswa Amir Mhando, bonanza hilo litahusisha waandishi na wafanyakazi wa vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
AJTC yang’ara bonanza la Taswa Arusha
TIMU ya Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha (AJTC), kimefanikiwa kung’ara kwenye bonanza la Kanda ya Kaskazini lililoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Mkoa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xnbMmirPTnI/VMzdrHEfxEI/AAAAAAAHAhs/0q2dhNNblHI/s72-c/taswa%2Bfc%2Bby%2Bmafoto%2Bblog.jpg)
Taswa FC yatinga nusu fainali Asas Dairies bonanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-xnbMmirPTnI/VMzdrHEfxEI/AAAAAAAHAhs/0q2dhNNblHI/s1600/taswa%2Bfc%2Bby%2Bmafoto%2Bblog.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s72-c/IMG-20140625-WA0006.jpg)
JUMA PINTO MGENI RASMI KATIKA BONANZA LA TASWA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-j6ul5PRpovc/U6vGTJA4H9I/AAAAAAACkUk/oAY8_CnYHgk/s1600/IMG-20140625-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v32YxW9icHs/U6vGXeiJp7I/AAAAAAACkU4/H6yGCdqVBLA/s1600/IMG-20140625-WA0008.jpg)
10 years ago
MichuziKOMBE LA MEYA SHINYANGA 2015 LAZINDULIWA,TIMU 18 KUCHUANA, MSHINDI KUONDOKA NA ZAWADI NONO!
Mashindano hayo ambayo yameandaliwa na mstahiki meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafidh Mukadam na kudhaminiwa na kampuni ya Vinywaji baridi ya Pepsi (SBC Tanzania Ltd) yanashirikisha timu 17 za kata zote za manispaa hiyo na timu ya polisi Shinyanga.
Mashindano ya Kombe la Meya Shinyanga yakihusisha...
5 years ago
MichuziTAKUKURU ARUMERU YAOKOA MAMILIONI YA FEDHA ZA SACCOS
Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Arusha Frida Weresi akizungumza na waandishi wa habari juu ya chunguzi mbalimbali zinazohusiana na vyama vya ushirika AMCOS na SACCOS Mkoani Arusha.
Na.Vero Ignatus,Arusha
Taasisi ya kupambana na Rushwa mkoani Arusha Takukuru imeendelea kufanya chunguzi mbalimbali zinazohusiana na vyama vya Ushirika (AMCOS na SACCOS) kutokana na malalamiko wanayoyapokea kutoka katika vyanzo mbalimbali na ubadhirifu unaofanywa na baadhi ya viongozi na wanachana hivyo kupelekea baadhi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Om*yKIIFG18cPnp3Nu69NBQihdbXMibOwGYxiWGdRhIQ9dn1PhdwZj*cJrjrHll7o8s9y18LroXs75jFRwkl4T-/mitumbakenia.jpg?width=650)
WAUZA MITUMBA WANAVYOTAPELIWA NA KUPOTEZA MAMILIONI YA FEDHA