Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BONGE ANASWA!

Issa Mnally na Dustan  Shekidele, Morogoro
Makubwa madogo yana nafuu! Kwenye kamatakamata na fumuafumua ya magenge ya biashara haramu ya ngono mjini hapa imemkumba bonge la jimama ambalo lilinaswa gesti likisubiri mteja. Bonge akiwa kitandani kauchapa usingizi chumbani huku kitandani kukiwa na kondomu kibao. Tukio hilo lilijiri hivi karibuni wakati vijana wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipopata...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BONGE APATA MSALA!

Richard Bukos na Issa Mnally Mwanamke mmoja mwenye umbo la miraba minne ambaye unaweza kumuita Bonge baada ya jina lake kutopatikana mara moja, wikiendi iliyopita alifikwa na msala mkubwa alipo bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi. Chanzo chetu kilidai kuwa Bonge huyo alikuwa na wenzake wakitoka kwenye kicheni party, walipofika maeneo ya Sinza-Afrika Sana jijini Dar, aliwachenga wenzake na baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Bonge la Bunge la bongo

Hili Bunge la bongo limenichosha, linenichosha kabisa. Mpaka sina hata hamu ya kuangalia tena na wengi wako hivyo.

 

10 years ago

GPL

MTOTO BONGE KUPELEKWA INDIA

HATIMAYE Mtoto Grace Simon (14) (pichani) ambaye ameacha shule kutokana na tatizo la unene wa kupindukia, sasa atapelekwa India kwa ajili ya matibabu kwa gharama za serikali. Mtoto Grace Simon (14) ambaye ameacha shule kutokana na tatizo la unene wa kupindukia. Mama mzazi wa Grace, Ashura Bakari alimwambia mwandishi wetu kuwa baada ya gazeti hili kuandika habari za mwanaye mara kwa mara, serikali imesikia kilio cha Grace ambaye...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Sis P — Bonge la Bwana

Wimbo mpya wa msanii Sis P unaitwa “Bonge la Bwana”. Studio Amillion Records Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

OYAAA BONGE NJOO TUBONGE!

SHWARI kitaa hiyooo…ama nini? Aisee arifu kipande hii ni mzuksi kinomanoma. Ebana eeh…lasti wikiendi ilikuwa longi ileile baada ya kuunganishwa na kitu cha holidei mbili za fastafasta chaliiangu. Kuna ishu nyingi ziliteki plesi ikiwemo kuombea kwa Saa Godi muungano wetu na masela wa hapo visiwani Zenji dheni tusake mahela. Huku na huku kachaa nilizama kwenye mitaa kucheki michongo wakati wa holidei. Huko kitaa cha TMK...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE AFANYA BONGE LA PATI

Keki maalumu kwa ajili ya Shilole. Shilole akijiandaa kukata keki pembeni ni Steve Nyerere.…

 

11 years ago

Michuzi

Bonge la Toyota RAV 4 linauzwa

ipo katika hali nzuri.  Ni ya mwaka 2001, 4WD, Petrol, Automatic, engine capacity 1998, Milleage 82000, ina Air Conditioning, Airbags, Alloy Wheels, AM/FM Radio, Anti-Lock Brakes, Electric Windows ,Front Fog Lamps ,Power Steering,  n.k. Gari ipo Dar es Salaam. Bei milioni 14. Kwa mawasiliano zaidi   piga namba 0655657911 au 0754573435.



 

9 years ago

Bongo Movies

Bonge la Party ya White Elephant Hatari

KAMPUNI ya White Elephant hivi karibuni iliandaa bonge la sherehe iliyojulikana kwa jina la GET TOGETHER PARTY WITH WHITE ELEPHANT, party hiyo ya kukata na shoka ilifanyika katika club moja maeneo ya Tabata Dampo na kuhudhuriwa na kundi la wasanii waliofanya kazi na Mussa Banzi.

Akiongea na FC mkurugenzi wa kampuni hiyo Mussa Banzi alisema kuwa kila siku anatamani kuwa na wasanii wake ambao wengi wao yeye ndio aliyewatoa na kuwa nyota katika tasnia ya filamu Swahilihood, na hivi sasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani