BURIANI TONNY BARETTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-yD-0NdVR208/UsfUEiarTQI/AAAAAAAFEpk/4iemJyfo0OE/s640/b1.jpg?width=600)
Mtoto wa marehemu John-Paul Baretto akisema machache kuhusu baba yake Mzee Ulli…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s72-c/unnamed.jpg)
BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI
![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
New song; My Shitobe by Y-TONNY
Baada ya kufanya vizuri na wimbo wake wa masebene msanii wa bongo fleva Y-TONNY ambapo mwaka huu wimbo huo ulipata nafasi ya kua nominiz katika Tuzo za Kill misic awards ila kwasasa Y-tony anakuja na ujio wake wa wimbo mpya ulioandaliwa chini ya muandaaji wa muziki nchini Tanzania abbah procecer akishirikiana na Tuddy Thomas.
Kwenye wimbo huu Y-Tonny anazungumzia mapenzi ya unafiki na uzanditi unaofanya na baadhi ya watu pale unapoamua kumpenda mtu na mwisho wasiku anajalibu kukutenda....
9 years ago
Bongo503 Oct
Music: Y Tonny — Maritina
11 years ago
MichuziTONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6f6Gpm_FkWU/U-npbay_9BI/AAAAAAAF-4g/CXz_pgBs8oc/s72-c/ebbf0829a1e053c18dc6d202419216f0.jpg)
BURIANI ROBIN WILLIAMS
![](http://3.bp.blogspot.com/-6f6Gpm_FkWU/U-npbay_9BI/AAAAAAAF-4g/CXz_pgBs8oc/s1600/ebbf0829a1e053c18dc6d202419216f0.jpg)
Mcheza sinema na mchekeshaji maarufu duniani aliyepata kushinda tuzo ya Oscar Robin Williams amefariki dunia katika kifo kinachoshukiwa ni cha kujiua mwwenyewe. Alikuwa na umri wa miaka 63.
Kwa mujibu wa polisi wa Marin huko Calofornia, Marehemu Williams alikutwa hana fahamu huku akiwa hapumui majira ya saa sita za mchana Jumatatu nyumbani kwake Tiburon, kufuatia simu ya dharura iliyopigwa polisi hapo. Alitangazwa amefariki dunia saa sita na dakika mbili baada ya wahudumu wa huduma za...
11 years ago
Habarileo02 Jun
Buriani 'mtoto wa boksi'
MSIBA wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa zaidi ya miaka mitatu, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, umeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini. Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Buriani Mchungaji Mtikila
HARAKATI za haki za binadamu nchini zimekumbwa na pigo kubwa baada ya mmoja wa wapambanaji wa hak
Mwandishi Wetu
11 years ago
MichuziBURIANI ADAM KUAMBIANA
Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya leo.
Habari zinasema Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, Dar es salaam . Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya marehemu, ndugu,...
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Buriani Komla Dumor