Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BURIANI TONNY BARETTO

Mtoto wa marehemu John-Paul Baretto akisema machache kuhusu baba yake Mzee Ulli…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI

Oktoba  14,  mwaka jana  Uwakilishi wa Kudumu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa  uliandaa hafla ya kwanza ya aina yake ya kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa  Mwalimu Julius   kambarage Nyerere.  Hafla hiyo ilihudhuriwa na  Wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao hapa  Umoja wa  Mataifa na wageni mbalimbali. Ni hafla iliyoambatana na uzinduzi wa kitabu kinachomhusu Baba wa Taifa. Kitabu hicho   kiliandikwa kwa ufundi mkubwa na Profesa Ali Mazrui   kwa kushirikiana...

 

11 years ago

Dewji Blog

New song; My Shitobe by Y-TONNY

IMG-20140619-WA0063

Baada ya kufanya vizuri na wimbo wake wa masebene msanii wa bongo fleva Y-TONNY  ambapo mwaka huu wimbo huo ulipata nafasi  ya kua nominiz katika Tuzo za Kill misic awards ila kwasasa Y-tony anakuja na ujio wake wa wimbo mpya ulioandaliwa chini ya muandaaji  wa muziki nchini Tanzania abbah procecer akishirikiana na  Tuddy Thomas.

Kwenye wimbo huu Y-Tonny anazungumzia mapenzi  ya unafiki na uzanditi unaofanya na baadhi ya watu pale unapoamua kumpenda mtu na mwisho wasiku anajalibu kukutenda....

 

9 years ago

Bongo5

Music: Y Tonny — Maritina

Msanii Y Tonny ameachia wimbo mpya unaitwa “Maritina” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Michuzi

TONNY NGOMBALE MWIRU ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM

 Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi na Waziri  Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha akimsimika Tonny Ngombale Mwiru kuwa kama wa UVCCM kata ya Kijitonyama. Kamanda mpya wa Umoja wa Vijana kata ya Kijitonyama Tonny Ngombale Mwiru akiwapungia mkono wanachama wa CCM mara baada ya kusimikwa kuwa kamanda wa UVCCM kata ya Kijitonyama. Mjumbe wa kamati kuu ya CCM ambaye pia ni waziri kiongozi wa zamani wa SMZ Shamsi Vuai Nahodha,katibu wa UVCCM kata ya Kijitonyama Fatuma  ...

 

11 years ago

Michuzi

BURIANI ROBIN WILLIAMS


Mcheza sinema na mchekeshaji maarufu duniani aliyepata kushinda tuzo ya Oscar Robin Williams amefariki dunia katika kifo kinachoshukiwa ni cha kujiua mwwenyewe. Alikuwa na umri wa miaka 63.

 

Kwa mujibu wa polisi wa Marin huko Calofornia, Marehemu Williams alikutwa hana fahamu huku akiwa hapumui majira ya saa sita za mchana Jumatatu nyumbani kwake Tiburon, kufuatia simu ya dharura iliyopigwa polisi hapo. Alitangazwa amefariki dunia saa sita na dakika mbili baada ya wahudumu wa huduma za...

 

11 years ago

Habarileo

Buriani 'mtoto wa boksi'

MSIBA wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa zaidi ya miaka mitatu, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, umeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini. Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Buriani Mchungaji Mtikila

HARAKATI za haki za binadamu nchini zimekumbwa na pigo kubwa baada ya mmoja wa wapambanaji wa hak

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Michuzi

BURIANI ADAM KUAMBIANA





Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya leo. 
Habari zinasema Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, Dar es salaam . Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya marehemu, ndugu,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Buriani Komla Dumor

Mwandishi na mtangazaji mashuhuri wa BBC Komla Dumor ameaga dunia. Komla alifariki Jumamosi kutokana na mshtuko wa Moyo. Wengi walimuenzi na watamkumbuka kwa kazi yake nzuri

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani