Cannavaro apewa onyo Zanzibar
![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnNS612AtWd1oHAjGPx9KQD9fEYtCyVo33iuhQmCU0qbhv6jW373b5*TSf2N08XOyqzW5a5mV6ter41DHLGZiWW/canavaro.jpg?width=650)
Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Na Sweetbert Lukonge BAADA kuonyesha uwezo wa juu katika mechi mbili za kimataifa alizocheza dhidi ya Al Ahly ya Misri, beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, ametakiwa kuhakikisha analinda kiwango chake hicho ili kisiporomoke kama ilivyokuwa hivi karibuni. 
Kocha Mkuu wa KMKM inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, Ally Bushiri, aliliambia Championi Ijumaa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mbrazili wa Yanga apewa onyo kali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQE1KkibGShc9w-Po0okqtZnTls987rde2QgyKaLY*8C*O04HRKFD6X6gq*yz9NWoxMqvAqLNQCFO364BIy7ipW/rose.jpg)
ROSE NDAUKA APEWA ONYO NA FAMILIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YxVE38edN7A/VDg9yxcxuiI/AAAAAAAGpDM/YKyctKBCuEI/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ajisalimisha kwenye Baraza la Maadili na kupewa onyo, Nchambi apewa nafasi kufika kikao
Wakati Vikao vya Baraza la Maadili vikiendelea siku yake ya pili kusikiliza mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995, Baraza hilo likiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi limetoa onyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Kwa mujibu wa maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Sekretarieti...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wNfxlGThwgQ/VUomD5X1ArI/AAAAAAAA8fw/Adk1SCZmCh0/s72-c/378.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF APEWA TAARIFA YENYE KUONYESHA WAKAZI ZAIDI YA 2000 WAMEATHIRIWA NA MVUA ZILIZONYESHA KISIWANI UNGUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wNfxlGThwgQ/VUomD5X1ArI/AAAAAAAA8fw/Adk1SCZmCh0/s1600/378.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3inZfebdpg/VUomDsHL5bI/AAAAAAAA8fs/kb8kQLB6rkY/s1600/393.jpg)
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Ngoma, Cannavaro ‘waua’
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Cannavaro anogewa Tanzania
![Mchezaji bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Fabio-Cannavaro.jpg)
Mchezaji bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MCHEZAJI bora wa dunia wa zamani, Muitaliano Fabio Cannavaro, amenogewa na mandhari ya Tanzania pamoja na ukarimu wa watu wa hapa walioonyeshwa, akiwa na kikosi cha magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid.
Cannavaro ameongozana na magwiji hao wenzake akiwemo winga, Luis Figo, Christian Karembeu na Ruben de la Red, waliocheza na kikosi maalumu cha wachezaji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MveGBybi5eAw1YId6bpTOhtW6d8lDubqjSQUaSyiefX40eLnL*WlRJr5GoTd6UbZY6HWC6OlNxCSMAEkc862bzt/QQQQQ.jpg)
Cannavaro aikosa... Azam FC
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9pB5Rm2diMUOulqt6Jq9ZUZXYeWga-q2eyGeAcNDGCa3kLT4jFzK0Mp-lXpfgth1f*EDaQ2bDFVphkAp6P-AJGP/Cannavaro2.jpg?width=750)
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Cannavaro: Tutaifunga Malawi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
NAHODHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema kuwa wamepania kupata ushindi dhidi ya Malawi ‘The Flames’ kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam keshokutwa ili kuondoa mdudu wa sare tangu Charles Mkwasa apewe kibarua cha kuinoa timu hiyo.
Stars itamenyana na Flames katika mchezo wa awali wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi, Mkwasa ataingia kwenye mechi hiyo akiwa hajaambulia ushindi katika mechi mbili za...