CCM ni shetani mzee au kijana?
TUNA vyama 23 venye usajili wa kudumu. Vyama vya upinzani ni 22. Mbona Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahangaika na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)? Fuatilia mfano huu upate jibu....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YitgcuW3sUk/VLoUy8ndR0I/AAAAAAAG97w/EUqGzNoEQjI/s72-c/IMG_1950.jpg)
DKT. SHEIN AONGOZA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MUASISI WA CCM MZEE MAKAME MZEE SULEWIMAN,UNGUJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YitgcuW3sUk/VLoUy8ndR0I/AAAAAAAG97w/EUqGzNoEQjI/s1600/IMG_1950.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MZEE KINGUNGE AACHANA NA CCM
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Mzee Moyo afukuzwa CCM
NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemfukuza uanachama mmoja wa waasisi wa chama hicho Visiwani, Mzee Hassan Nassor Moyo.
Hatua hiyo ilitangazwa jana na Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja, Aziza Iddi Mapuri katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari mjini hapa.
Mapuri alisema Mzee Moyo anadaiwa kukisaliti chama hicho kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubaliana na sera za chama chao.
Alisema Mzee Moyo alitumia majukwaa ya siasa katika mikutano...
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Mzee Moyo: Sijutii kufukuzwa CCM
Na Is-haka Omar, Zanzibar
WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani mstaafu, Mzee Nassor Moyo, amesema hajutii kufukuzwa uanachama ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hatarajii kukata rufaa.
Akizungumza na MTANZANIA mjini hapa jana, Moyo alisema ataendelea kuwa muumini wa Serikali tatu na kudai mamlaka kamili ya Zanzibar hadi mwisho wa maisha yake.
Alisema anaamini kile anachosimamia ndani ya moyo wake, hivyo hakuna chama wala taasisi yoyote yenye uwezo wa kubadilisha kile anachokiamini kusimamia...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Mzee Moyo awataka CCM wajipime
9 years ago
Habarileo05 Oct
Mzee Kingunge ang’oka CCM
MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale- Mwiru, ametangaza kujiondoa kwenye chama tawala, CCM, ambacho amekuwa mmoja wa waumini wake wakubwa tangu enzi za TANU, kabla kuungana na ASP na kuzaliwa CCM mwaka 1977.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-KYCGZ34Wp64/VLll0WyzN9I/AAAAAAACVy8/W8Yk3YIidp8/s72-c/IMG_1950.jpg)
MAZIKO YA MUASISI WA CCM MZEE MAKAME SULEIMAN
![](http://3.bp.blogspot.com/-KYCGZ34Wp64/VLll0WyzN9I/AAAAAAACVy8/W8Yk3YIidp8/s640/IMG_1950.jpg)
10 years ago
Habarileo14 Jan
Mzee mkoani Dodoma aipa somo la uadilifu CCM
MMOJA wa wazee wa mkoa wa Dodoma Athumani Makole (66) amesema kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuaminiwa na kuendelea kuongoza nchi ni lazima kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wachaguliwe viongozi waadilifu watakaofanya kazi kwa uaminifu ili kurudisha imani yao kwa wananchi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zMf34Zuy_j0/XkgfwXEIScI/AAAAAAACHqA/L-9Xhow0HQ4ifNFlrLdz1fPxeVyyTSiDgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_192044.jpg)