CCM: Tutarejesha majimbo yote ya upinzani
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hivi sasa kipo makini kuhakikisha kinaweka udhibiti wa kutosha wa makundi majimboni. Pia chama hicho, kimesisitiza kuwa, kutokana na kukithiri kwa makundi hayo, viongozi wake wa kitaifa wamekuwa hawalali kwa kuangalia namna ya kurejesha majimbo yote ya wapinzani mikononi mwa chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Apr
CCM kurejesha majimbo yaliyochukuliwa upinzani
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema wamejiandaa kurejesha majimbo yote yaliyochukuliwa na vyama vya upinzani. Aidha amesema wana uhakika wa kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaofanyika mwaka huu.
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.
Tathmini ya Upigaji Kura
Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Majimbo haya mkoani Mara ni ngome imara ya upinzani
10 years ago
Mwananchi06 Jul
KUELEKEA MAJIMBONI : Ukawa yategemea nguvu ya CUF, NCCR majimbo yote ya Urambo, Sikonge
5 years ago
CCM Blog16 Feb
RAIS WA SUDAN KUSINI ATEKELEZA TAKWA LA UPINZANI, APUNGUZA IDADI YA MAJIMBO
![Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimbo](https://media.parstoday.com/image/4bsof1e02e4df41k1yw_800C450.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Mar
KUELEKEA MAJIMBONI 2015 : Majimbo ya Kilindi, Mkinga na Muheza mkoani Tanga hayana dalili nzuri kwa upinzani
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-RcYrUf6aI_o/VfajtJr3U3I/AAAAAAAADww/GoQ42vVVldM/s72-c/IMG_1416.jpg)
MGOMBEA MWENZA CCM APUKUTISHA UPINZANI LINDI, 61 WAJUNGA NA CCM WAMO VIONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-RcYrUf6aI_o/VfajtJr3U3I/AAAAAAAADww/GoQ42vVVldM/s640/IMG_1416.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DA7Qkg9Y5A0/VfakC6O_KWI/AAAAAAAADxQ/eOYvgEFdW5I/s640/IMG_1478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-mTwoZiCCA/VfagrcUZhzI/AAAAAAAADuo/-eLjL-E3L18/s640/IMG_1054.jpg)