Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yawatangazia vita UKAWA

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umetangaza vita kwa vyama vya siasa, hususan kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). UVCCM imesisitiza kupambana na wajumbe wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mafia yawatangazia vita wanaowapa mimba wanafunzi

Wilaya ya Mafia imetangaza mkakati wa kuwasaka kwa siri watu wanaohusika na kuwapa mimba wanafunzi ili kuwachukulia hatua za kisheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mongella ajitosa vita ya UKAWA, CCM

ALIYEWAHI kuwa Rais wa Bunge la Afrika na Mbunge wa Ukerewe, Getrude Mongella, amesema atahakikisha anaonana na Kiongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Mtanzania

CCM Yatangaza vita

nnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kufanya maandalizi ya kupigana na wafuasi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kinaowatuhumu kuwashambulia wanachama wake.

Kimesema uamuzi huo umekuja baada ya kuchoshwa na vurugu zinazofanywa na wafuasi wa Ukawa katika maeneo mbalimbali hapa nchini hususan wakati wa kutangaza matokeo na uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa.

Mpango huo wa mapambano umetangazwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Urais CCM kama vita

>Mpasuko ndani ya CCM unazidi kuongezeka baada ya viongozi wa chama hicho Mkoa wa Arusha na Wilaya ya Monduli kuibuka na kukemea ‘siasa za vitisho na hofu’ dhidi ya Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vita ya CCM neema kwa Watanzania

HAKUNA ubishi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeingiliwa au tuseme kuvamiwa na kansa mbaya. Hakuna kitu kinakitafuna chama hiki kama mdudu wa kupenda madaraka huku wanaoyatafuta wakiwatumia makada wa chama sehemu...

 

10 years ago

Mwananchi

Vita kali ya ubunge CCM, Chadema

>Baada ya mchakato wa kuwania urais, sasa vita ya Uchaguzi Mkuu imehamia kwenye ubunge na udiwani hasa kutoka katika vyama vikubwa vya CCM kinachotawala na Chadema kinachoongoza upinzani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vita vya ubunge vyaimega CCM Tabora

VITA vya kuwania kiti cha ubunge wa Tabora Mjini katika uchaguzi mkuu wa 2015, imepamba moto na kukimega Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Tabora Mjini. Mgogoro huo ambao unazidi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete aingilia kati vita ya urais CCM

>Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ameingilia kati vita ya kuwania urais mwaka 2015 kwa kukemea kwa baadhi ya makada wa chama hicho kuanza kampeni mapema.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar

IMG-20141114-WA0009

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.

WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-

1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;

2.TAREHE...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani