CCM yawatangazia vita UKAWA
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umetangaza vita kwa vyama vya siasa, hususan kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). UVCCM imesisitiza kupambana na wajumbe wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Mafia yawatangazia vita wanaowapa mimba wanafunzi
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Mongella ajitosa vita ya UKAWA, CCM
ALIYEWAHI kuwa Rais wa Bunge la Afrika na Mbunge wa Ukerewe, Getrude Mongella, amesema atahakikisha anaonana na Kiongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa...
10 years ago
Mtanzania10 Jan
CCM Yatangaza vita
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kufanya maandalizi ya kupigana na wafuasi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kinaowatuhumu kuwashambulia wanachama wake.
Kimesema uamuzi huo umekuja baada ya kuchoshwa na vurugu zinazofanywa na wafuasi wa Ukawa katika maeneo mbalimbali hapa nchini hususan wakati wa kutangaza matokeo na uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa.
Mpango huo wa mapambano umetangazwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa...
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Urais CCM kama vita
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Vita ya CCM neema kwa Watanzania
HAKUNA ubishi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeingiliwa au tuseme kuvamiwa na kansa mbaya. Hakuna kitu kinakitafuna chama hiki kama mdudu wa kupenda madaraka huku wanaoyatafuta wakiwatumia makada wa chama sehemu...
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Vita kali ya ubunge CCM, Chadema
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Vita vya ubunge vyaimega CCM Tabora
VITA vya kuwania kiti cha ubunge wa Tabora Mjini katika uchaguzi mkuu wa 2015, imepamba moto na kukimega Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Tabora Mjini. Mgogoro huo ambao unazidi...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Kikwete aingilia kati vita ya urais CCM
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;
2.TAREHE...