CDA yatakiwa kuhamisha stendi Jamatini
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameuagiza uongozi wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) na Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kuhakikisha wanatenga maeneo kwa ajili ya ujenzi wa stendi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Jan
CDA yatakiwa kuanzisha kitengo cha walemavu
MAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imetakiwa kuona umuhimu wa kuanzisha kitengo kitakachoshughulikia watu wenye ulemavu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nY7zc2FvKic/Xs4Y98FiuKI/AAAAAAALrq8/-uJWKnjhTUc21KSmgQ5NHdaVxRsHeioJQCLcBGAsYHQ/s72-c/furaha.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YAKABIDHI STENDI KUU YA IGUMBILO NA STENDI YA ZAMANI MTAMBO WA KUNAWIA MIKONO
NA DENIS MLOWE,IRINGA
STENDI kuu ya Igumbilo na stendi ya zamani zimekabidhiwa msaada wa mashine ya kunawia mikono ya kisasa kutoka kwa kampuni ya Asas ya mjini Iringa ikiwa ni mwendelezo wa kampuni hiyo kusaidia jamii kupambana na kuenea kwa virusi vya coroni mkoani hapa.
Msaada huo wa mashine mbili za kisasa ambazo zinazinatumia miguu kuweza kutoa maji na vitakasa mikono ni kubwa zinazoweza kuhudumia watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja zimekabidhiwa na mwakilishi wa kampuni hiyo, Afisa...
11 years ago
MichuziMOTO WATEKETEZA VIBANDA 63 VYA WAJASIRIAMALI ENEO LA JAMATINI DODOMA
======= ========= =======Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Moto mkubwa umetokea katika eneo la Jamatini Manispaa ya Dodoma na kusababisha hasara ambayo thamani yake bado haijafahamika.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi DAVID A. MISIME – SACP, amesema kuwa mnamo tarehe 11/07/2014...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Zijue sababu za kuhamisha shauri mahakamani — 2
Hati ya wito wa kuitwa shaurini Hati inayomwarifu mdaiwa kwamba mdai amefungua shauri dhidi yake na hivyo, anapaswa kuhudhuria mahakamani na kujitetea dhidi ya madai hayo katika siku iliyotajwa katika...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Zijue sababu za kuhamisha shauri mahakama
KUNA uwezekano wa kuhamisha shauri ulililolifungua katika mahakama moja kwenda mahakama nyingine yenye mamlaka ya juu zaidi au yenye mamlaka sawa na ile mahakama ambako ulifungulia shauri hilo. Kimsingi mashauri...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RYGpccb3QhA/VWNEbBuvQVI/AAAAAAAHZwI/xHG00oEaXrg/s72-c/download.jpg)
JK ATEUA MKUU WA WILAYA MMOJA NA KUHAMISHA WENGINE 10 leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-RYGpccb3QhA/VWNEbBuvQVI/AAAAAAAHZwI/xHG00oEaXrg/s1600/download.jpg)
11 years ago
Habarileo14 Dec
SMZ yajieleza kuhamisha huduma za macho Mnazi Mmoja
WIZARA ya Afya imesema huduma za kitengo cha macho kwa wagonjwa wa hospitali ya Mnazi Mmoja zimehamishwa na kupelekwa Kibweni katika hospitali ya kijeshi ya KMKM.
9 years ago
Michuzi21 Aug
10 years ago
Habarileo03 Sep
'CDA inawatesa wananchi, ivunjwe'
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi juzi alipata wakati mgumu kwenye mkutano baada ya wananchi na baadhi ya madiwani kukataa hoja zake mbele ya Rais Jakaya Kikwete. Hatua hiyo ya wananchi, ilikuja baada wa Mbunge wa Dodoma Mjini, David Malole (CCM) kusema Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imekuwa ikifanya maonevu mengi kwa wananchi, ikiwemo kubomoa nyumba, makanisa kutaka ardhi irudi Manispaa.