Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema Moro yamuunga mkono Mbunge

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilaya ya Morogoro, kimepanga kufanya maandamano makubwa kuunga mkono hoja ya Mbunge wa Jimbo la Morogoro, Abdulaziz Abood (CCM) juu ya matumizi tata ya Sh milioni 720 za mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi yaendayo mikoani eneo la Msamvu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Chadema Moro kumuunga mkono Abood

Mvutano wa uendelezaji ujenzi wa kituo cha mabasi cha Msamvu mjini hapa, umeingia hatua mpya baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutangaza maandamano kuunga mkono hatua za Mbunge wa Morogoro Mjini, Aziz Abood kuhoji matumizi ya fedha za mradi huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

China yamuunga mkono Leung

China imetangaza kuunga mkono Kiongozi Mkuu wa Hong Kong, C Y Leung, anapokabiliwa na maandamano makubwa ambayo yamedumiza shughuli katika eneo kubwa la mji huo.

 

5 years ago

Michuzi

UWT DODOMA MJINI YAMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWENYE SEKTA YA AFYA NA ELIMU

 Charles James, Michuzi TVKATIKA kuunga mkono juhudi za Rais Dk John Magufuli za kuwahudumia watanzania, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Dodoma Mjini umekabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh Milioni Mbili kwenye sekta ya Afya na Elimu wilayani humo.
Vifaa vilivyotolewa na UWT Wilaya ya Dodoma Mjini ni Mashuka 50 ya kujifunikia katika Kituo cha Afya Mkonze ambacho kilikua kinatumika kuhudumia wagonjwa wenye maambukizi ya ugonjwa wa Corona na vifaa vya kufanyia mitihani...

 

9 years ago

Dewji Blog

Bayport yamuunga mkono Dr Magufuli kwa vitendo, yapaka rangi, yafagia shule ya msingi Hekim

John Mbaga

Mkurugenzi Mkuu wa Bayport Financial Services, John Mbaga, akipaka rangi katika ukuta wa shule ya Msingi Hekima, iliyopo Tandale, wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam jana mchana. Picha zote kwa Hisani ya Bayport Financial Services.

DSC_0781

Meneja wa Oparasheni wa Bayport Financial Serviices, Charles Mgeta, akizungumza na waandishi wa habari juu ya taasisi yao kuamua kufanya usafi, kutunza mazingira na kuipaka rangi shule ya msingi Hekima, iliyopo Kata ya Tandale, Wilaya Kinondoni, jijini...

 

9 years ago

Michuzi

Bayport yamuunga mkono Dr Magufuli kwa vitendo, yapaka rangi, yafagia shule ya msingi Hekima

TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na utoaji wa mikopo, jana imemuunga mkono kwa vitendo Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr John Pombe Magufuli kwa kufanya usafi, kutunza mazingira na kupaka rangi shule ya Msingi Hekima, iliyopo Kata ya Tandale, wilaya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, huku wakianza kwanza kusafisha eneo la Makao Makuu ya ofisi yao, kabla ya kuelekea hapo. 
Tukio hilo liliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Bayport, John Mbaga, pamoja na zaidi ya...

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge Moro kutumia mkopo wa gari kuchimba visima

MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood, amesema atatumia fedha ambazo wabunge wanakopeshwa kununua magari, kuchimba visima vya maji kuwezesha wananchi wapatao 1,700 wa kata ya Mkundi kupata maji safi na salama.

 

10 years ago

Michuzi

CHADEMA Red Brigade wala kiapo Mwanza mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe

 Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, al maarufu kama RED BRIGADE, wakila kiapo cha utii, mbele ya Mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe, jijini Mwanza siku ya Jumamosi Februari 28, 2015. Kiapo hicho kinafuatia kukamilika kwa mafunzo ya kiulinzi na usalama kwa vijana hao. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatare (kulia), akisoma taarifa ya mafunzo ya vijana wa chama hicho 'Red Brigade' huku mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fomu uchaguzi CHADEMA Moro kutolewa leo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani hapa, kimetangaza kuanza kutoa fomu leo kwa wanachama wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi ya wilaya na jimbo huku kikitahadharisha vitendo...

 

9 years ago

Habarileo

CUF na Chadema Moro wavutana kuachiana majimbo

CHAMA cha Wananchi (CUF) katika wilaya ya Morogoro Vijijini kichama na Kilosa mkoa wa Morogoro, kimejikuta kikiingia kwenye mvutano mkubwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutokana na kushindwa kuachiana majimbo ya uchaguzi wa ubunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani