Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China yamuunga mkono Leung

China imetangaza kuunga mkono Kiongozi Mkuu wa Hong Kong, C Y Leung, anapokabiliwa na maandamano makubwa ambayo yamedumiza shughuli katika eneo kubwa la mji huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema Moro yamuunga mkono Mbunge

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilaya ya Morogoro, kimepanga kufanya maandamano makubwa kuunga mkono hoja ya Mbunge wa Jimbo la Morogoro, Abdulaziz Abood (CCM) juu ya matumizi tata ya Sh milioni 720 za mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi yaendayo mikoani eneo la Msamvu.

 

5 years ago

Michuzi

UWT DODOMA MJINI YAMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI KWENYE SEKTA YA AFYA NA ELIMU

 Charles James, Michuzi TVKATIKA kuunga mkono juhudi za Rais Dk John Magufuli za kuwahudumia watanzania, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Dodoma Mjini umekabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh Milioni Mbili kwenye sekta ya Afya na Elimu wilayani humo.
Vifaa vilivyotolewa na UWT Wilaya ya Dodoma Mjini ni Mashuka 50 ya kujifunikia katika Kituo cha Afya Mkonze ambacho kilikua kinatumika kuhudumia wagonjwa wenye maambukizi ya ugonjwa wa Corona na vifaa vya kufanyia mitihani...

 

9 years ago

Michuzi

Bayport yamuunga mkono Dr Magufuli kwa vitendo, yapaka rangi, yafagia shule ya msingi Hekima

TAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na utoaji wa mikopo, jana imemuunga mkono kwa vitendo Rais wa Jamhuri ya Muungano Dr John Pombe Magufuli kwa kufanya usafi, kutunza mazingira na kupaka rangi shule ya Msingi Hekima, iliyopo Kata ya Tandale, wilaya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, huku wakianza kwanza kusafisha eneo la Makao Makuu ya ofisi yao, kabla ya kuelekea hapo. 
Tukio hilo liliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Bayport, John Mbaga, pamoja na zaidi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Bayport yamuunga mkono Dr Magufuli kwa vitendo, yapaka rangi, yafagia shule ya msingi Hekim

John Mbaga

Mkurugenzi Mkuu wa Bayport Financial Services, John Mbaga, akipaka rangi katika ukuta wa shule ya Msingi Hekima, iliyopo Tandale, wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam jana mchana. Picha zote kwa Hisani ya Bayport Financial Services.

DSC_0781

Meneja wa Oparasheni wa Bayport Financial Serviices, Charles Mgeta, akizungumza na waandishi wa habari juu ya taasisi yao kuamua kufanya usafi, kutunza mazingira na kuipaka rangi shule ya msingi Hekima, iliyopo Kata ya Tandale, Wilaya Kinondoni, jijini...

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yamuunga rais mpya wa soka Nigeria

Rais wa FIFA Sepp Blatter amemuunga mkono Amaju Pinnick kama rais mpya wa shirikisho la soka nchini Nigeria NFF.

 

10 years ago

Vijimambo

KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA

Kiongozi wa Kundi Vijana wa 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hemed Ali akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es Salaam leo Julai 18, 2015 kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWAVijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA.KUNDI la vijana la 4U Movement, lililokuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: China yakerwa Trump kuita corona 'virusi vya China'

Rais wa Marekani Donald Trump ametumia neno hilo ingawa kumekuwa na wito wa kuepuka kunyanyapaa eneo au kundi fulani wakati huu wa maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

Free Press Journal

Coronavirus Update from China: Collectivism plays indispensable role in China's COVID-19 fight

Coronavirus Update from China: Collectivism plays indispensable role in China's COVID-19 fight  Free Press Journal

 

11 years ago

Michuzi

ECOBANK TANZANIA LAUNCHES ‘CHINA DIRECT’ INITIATIVE AND UNVEILS STRATEGIC PARTNERSHIP WITH BANK OF CHINA

Mr. Enoch Osei-Safo Managing Director Ecobank Tanzania adressing invited guests at the China Direct initiative launch Mr. Bertrand Jandoh,Regional Account Manager & Acting Head of Corporate Banking at Ecobank Tanzania adressing guests at the China Direct initiative launch. Deputy Managing Director Bank of China-Zambia giving a speech at the China Direct initiative launch by Ecobank-Tanzania. Mr.Enoch Osei-Safo introducing Ms.Wenzai Dai the Chinese liaison officer at the Ecobank...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani