CHADEMA wapinga wake wa marais kuanzisha taasisi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewatuhumu Rais Jakaya Kikwete na Rais mstaafu Benjamin Mkapa kwa kugeuza Ikulu kuwa kituo cha kuanzisha taasisi binafsi. Shutuma hizo zilitolewa juzi na Mkurungenzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
![nyerere_karume_and_moyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nyerere_karume_and_moyo-300x194.jpg)
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
10 years ago
Vijimambo21 May
Marais wa Afrika wapinga kuondoa hatamu ya 3
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/23/150423151130_asia_africa_summit_epa_640x360_epa_nocredit.jpg)
Marais wa Afrika wapinga kuondolea hatamu ya tatu
Viongozi wa Afrika Magharibi wamepinga pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu .
Aidha marais wa Togo na Gambia wamepuzilia mbali pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu.Marais hao ambao walikutana katika hafla ya viongozi huko Ghana walikataa katakata kubadili katiba za mataifa yao ilikumruhusu rais kutawala kwa vipindi viwili na kisha aondoke madarakani ili mwengine achaguliwe.
Mataifa hayo mawili yanaruhusu rais kutawala hadi...
10 years ago
BBCSwahili20 May
Marais wa Afrika wapinga kuondolea hatamu ya tatu
10 years ago
StarTV21 May
Marais wa Afrika Magharibi wapinga kuondoa hatamu ya 3
Viongozi wa Afrika Magharibi wamepinga pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu .
Aidha marais wa Togo na Gambia wamepuzilia mbali pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu.
Marais hao ambao walikutana katika hafla ya viongozi huko Ghana walikataa katakata kubadili katiba za mataifa yao ilikumruhusu rais kutawala kwa vipindi viwili na kisha aondoke madarakani ili mwengine achaguliwe.
Mataifa hayo mawili yanaruhusu rais kutawala hadi ataposhindwa.
Viongozi wengi barani Afrika wameibuka...
9 years ago
Habarileo26 Oct
Kikwete kuanzisha taasisi
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa mara atakapostaafu nafasi hiyo ya juu ya uongozi, Desemba 5 mwaka huu anatarajia kuanzisha Taasisi ya maendeleo Afrika na Dunia. Aidha alisema kuwa atarudi kijijini kwake Msoga, Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani ambapo mbali ya kuanzisha taasisi hiyo ya maendeleo pia ataendeleza ufugaji na kilimo cha mananasi.
11 years ago
Habarileo16 Mar
MCT yashauriwa kuanzisha taasisi ya mafunzo ya habari
BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limetoa tuzo ya waandishi waliotukuka huku ikishauriwa ianzishe taasisi itakayotoa mafunzo ya habari kwa lengo la kuinua taaluma ya habari nchini.
10 years ago
VijimamboMDAHALO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE WATAKA AMANI, WAPINGA RUSHWA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015.
10 years ago
Habarileo24 Sep
Chadema wapinga kura kwa intaneti
UAMUZI wa Bunge Maalumu la Katiba wa kupitisha marekebisho ya Kanuni zake, ili kutoa fursa kwa wajumbe wa Bunge hilo kupiga kura ya kukubali au kukataa Katiba inayopendekezwa wakiwa mahali popote hata nje ya nchi kwa kutumia nukushi (faksi) au intaneti, umegeuka kuwa shubiri kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWdOPBJ178L4iMkxaq9sO9aRLd-WXB8fg9GtP5ZY5dgWCVf08irasZbgpaR2dlol5qkVucbS0a-c-cMXr6uhcE7s/WAKE.jpg)
WAKE WA MARAIS WA AFRIKA WANAOTIKISA