CHADEMA watishia kulisusa Bunge
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetishia kujiondoa katika Bunge Maalumu la Katiba endepo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitalazimisha kupitisha vifungu vya rasimu ya katiba. Licha ya kutoeleza mkakati wake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJUKATA WATAJA MAADUI WAWILI WA KATIBA MPYA, WATISHIA KWENDA DODOMA KUFUNGA MILANGO YA BUNGE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAJoY8DPYZCksJ2A0yFYyieScM0FYnhbWtImTSEUkgjYdXpbZpN0LLcl7kLtfY5HZAPqAHs2d7pX8KIdfl5guKkB/sexhealth.jpg?width=650)
PIGANIA PENZI LAKO, KULIA AU KULISUSA SIYO DAWA!
Mpenzi msomaji wangu, kama ulikuwa hujui fahamu kwamba mapenzi ni kama siasa, siasa ina ushindani kati ya chama tawala na pinzani, chama tawala kinavuta kwake ili kuendelea kushikilia dola lakini pia vyama pinzani vinajipanga kuhakikisha vinaingia madarakani. Naweza kusema pia penzi ni kama siti ya daladala, ukishuka wewe mwingine anakaa. Wakati mwingine kuna kuwahiana au kupokonywa. Hapa namaanisha kwamba katika mapenzi kama...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Chadema yatishia kususia Bunge
Zikiwa zimebaki siku nne kabla ya kuanza kwa Bunge la Katiba mjini Dodoma, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitasusia bunge hilo, iwapo mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Jaji Warioba hayatazingatiwa.
10 years ago
Habarileo03 Dec
Chadema waalikwa Bunge la Ulaya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata mwaliko wa kuhudhuria Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) na kushiriki mkutano mkuu wa chama tawala cha nchini Ujerumani.
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Chadema kususia Bunge la Katiba ikiwa...
Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisema wabunge wa chama chake watasusia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ikiwa hoja ya kuundwa kwa Serikali tatu itapingwa na wabunge wa CCM, Mwakilishi wa Mji Mkongwe (CUF), Ismail Jussa Ladhu ametaka kuvunjwa kwa Muungano.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9HhL6psO-ww/VIBdCuckJqI/AAAAAAAG1Qk/z2IpHpVZg3M/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
TASWIRA YA ZIARA YA CHADEMA BUNGE LA ULAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9HhL6psO-ww/VIBdCuckJqI/AAAAAAAG1Qk/z2IpHpVZg3M/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-H6fCSJQlX1A/VIBdC4w2XqI/AAAAAAAG1Qo/O7crWG6Oqbw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Chadema ngangari, yasisitiza kutoshiriki Bunge la Katiba
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema wajumbe wa Bunge la Katiba kutoka katika chama chake hawatashiriki katika Bunge hilo linalotarajiwa kuendelea mwezi ujao.
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Chadema wataka JK aingilie kati Bunge la Katiba
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuomba Rais Jakaya Kikwete, kuingilia kati na kukemea vitendo vya kuingiliwa kwa uhuru wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba katika kufanya uamuzi.
9 years ago
TheCitizen15 Sep
Hundreds attend burial of Chadema Bunge candidate
Chadema chairman Freeman Mbowe yesterday led thousands of mourners in Lushoto at the burial of parliamentary candidate Mohammed Mtoi, who was killed in a car crash on Saturday.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania