PIGANIA PENZI LAKO, KULIA AU KULISUSA SIYO DAWA!
![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyAJoY8DPYZCksJ2A0yFYyieScM0FYnhbWtImTSEUkgjYdXpbZpN0LLcl7kLtfY5HZAPqAHs2d7pX8KIdfl5guKkB/sexhealth.jpg?width=650)
Mpenzi msomaji wangu, kama ulikuwa hujui fahamu kwamba mapenzi ni kama siasa, siasa ina ushindani kati ya chama tawala na pinzani, chama tawala kinavuta kwake ili kuendelea kushikilia dola lakini pia vyama pinzani vinajipanga kuhakikisha vinaingia madarakani. Naweza kusema pia penzi ni kama siti ya daladala, ukishuka wewe mwingine anakaa. Wakati mwingine kuna kuwahiana au kupokonywa. Hapa namaanisha kwamba katika mapenzi kama...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjIV-zhPCTm52WNMac31xApFOmKnzuGcdVU9WcGfVPa3GWOaH3lRXrXDfNCV1wbgI3b9cYqozhzz*7CO0pRbZKpR/7.jpg)
NAFASI YA NDUGU KATIKA PENZI LAKO
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Usililinde penzi lako kwa uongo
ASALAM aleykum msomaji wa safu hii ya Urafiki na Mahusiano. Nakukaribisha katika safu hii inayotufundisha mambo mbalimbali ya kuishi vema na wapenzi wetu. Hivi wewe ni muongo? Upo katika mahusiano...
11 years ago
Bongo507 Jul
Song: Samio love ft K Handsome — Penzi Lako
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
CHADEMA watishia kulisusa Bunge
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetishia kujiondoa katika Bunge Maalumu la Katiba endepo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitalazimisha kupitisha vifungu vya rasimu ya katiba. Licha ya kutoeleza mkakati wake...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
CCM wazidi kulia na Warioba
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kuilaumu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuandika rasimu iliyojaa mawazo ya wajumbe wake waliotaka muundo wa serikali tatu. Lawama hizo zilitolewa jana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bu_IJgv5uec/XlPrBXAJkxI/AAAAAAALfIU/LuR9xo6XVOMznLCimHAQXLnmV5ovqbnkQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Njombe:Wazidi kulia na ugumu wa biashara
Hali ya biashara kwa wakazi wa mji wa Njombe imetajwa kuwa kwenye mkwamo kutokana na Ongezeko la kodi hasa katika ukadiriaji wa kodi hatua inayowalazimu baadhi ya wafanyabiashara kufunga milango yao.
Katika mkutano wa kwanza mwaka 2020 wa jumuiya ya wafanyabiashara mjini Njombe,baadhi ya wafanyabiashara akiwemo Agnetha Sanga na Nathaniel mgani wanakiri kuwa hali ya biashara kwa sasa imekuwa ngumu na mauzo kupungua kwa kiasi kikubwa.
Kutokana na hali hiyo serikali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjRNOfnOVKAY1SrrY6eeiZQDneTR52rwiyrfM7E0LLVuVllLF8lWg5fgejMuWpeqWvJsfpnTNRD0NuTsLu1egDU/wolper.jpg?width=650)
JACK WOLPER: SIJAWAHI KULIA KUACHWA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xYTFZ8CWDbA/Ve09FOMbtjI/AAAAAAAAD-4/1v9a4f1WNPk/s72-c/image.jpg)
UKAWA SASA NI ZAMU YENU KULIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYTFZ8CWDbA/Ve09FOMbtjI/AAAAAAAAD-4/1v9a4f1WNPk/s640/image.jpg)
Na Happiness KatabaziKWA Takribani Miezi miwili sasa vyama vinavyounda UKAWA vimekuwa vikipata dhoruba Kali kutoka kwa baadhi ya waliokuwa Viongozi wa juu wa UKAWA kuamua kuachia madaraka vyama vyao Vya siasa walivyokuwa wakivitumikia sambamba na wanachama wao.Tumewashuhudia waliokuwa Majemedali wa UKAWA ambaye aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba kuamua ukajiudhuru wadhifa wake huo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Waziri Mkuu aliyejidhuru Edward...