Chadema yaibuka na mkakati mpya
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeweka bayana mkakati wake mpya wa kushika dola kwa kukita mizizi yake tangu ngazi ya shina hadi ya Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Mkakati mpya CHADEMA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza mkakati mpya wa kupiga kambi katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara kikidai wananchi wake wametelekezwa kwa makusudi na Serikali ya Chama Cha...
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Mkakati wa Chadema Oktoba
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Mkakati wa Chadema kuingia Ikulu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2654854/highRes/967769/-/maxw/600/-/ox2c9jz/-/chadema_clip.jpg)
10 years ago
Mtanzania17 Aug
Werema atangaza mkakati mbadala Katiba Mpya
![Frederick Werema](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Frederick-Werema.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema
NA AGATHA CHARLES
OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imevunja ukimya tangu kuanza kwa awamu ya pili ya Bunge Maalumu la Katiba na kutangaza mkakati mbadala endapo Bunge hilo litashindwa kupata Katiba Mpya.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, alitangaza mkakati huo jana katika mkutano na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Haki na Utawala Bora jijini Dar es Salaam.
Jaji Werema alikuwa akizungumzia hatima ya upatikanaji...
11 years ago
Habarileo16 Jul
Chadema: Katiba mpya itapatikana
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Katiba mpya ya Tanzania itapatikana na kusisitiza kuwa suala la kundi la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurejea bungeni, linategemea utekelezaji wa masharti yao.
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Safu mpya CHADEMA ilete mageuzi
MACHO na masikio ya wanaoitakia mema nchi hii, wanautegemea uongozi mpya wa Chama cha Demokrasia na Maeneleo (CHADEMA) toka msingi, wilaya, mkoa na taifa, kukomeshe fedha za walalahoi zinazotafunwa na...
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Chadema waunda safu mpya Kigoma
![Chama cha Demokrasia na Maendeleo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/chadema.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Na Editha Karlo, Kigoma
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kigoma, kimefanya uchaguzi na kuchagua viongozi wa chama hicho wa mkoa na wilaya.
Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni na Usimamizi katika chama hicho, Benson Kigaila ambaye alikuwa msimamizi wa uchaguzi huo, alisema ulifanyika kuziba mapengo yaliyoachwa wazi baada ya viongozi kujiuzulu.
Kigaila aliwataja viongozi waliochaguliwa ambao watashika madaraka hayo hadi uchaguzi utakapofanyika...
10 years ago
Habarileo09 Sep
Baraza la Wazee Chadema lapata Mwenyekiti mpya
SAFU mpya ya Baraza la Wazee Taifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imetangazwa ambayo Mwenyekiti wake ni mkazi wa Zanzibar, Hashim Juma Issa.