Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yakomba 350 kwa Nyalandu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimefanya mkutano mkubwa na kujipatia wanachama wengi mahali panapodaiwa kuwa ngome ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Singida Kaskazini, jimbo linaloongozwa na Waziri wa Utalii...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

IDADI YA WALIOKUFA KWA EBOLA YAFIKIA 1,350

Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone. Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.

 

11 years ago

Dewji Blog

GEPF yakabidhi msaada wa Mabati 350 kwa Waziri Mkuu Pinda

PG4A0606

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea mabati  350 yenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 15  kutoka kwa  Mkurugenzi  Mtendaji  wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii  ya GEPF, Bw. Daudi Msangi (wapili kulia) kwa jili ya kuezezeka  madarasa mawili na jengo la utawala la shule ya Msingi ya Kakauni wilayani Mlele  May 26,2014. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa katavi Dr. Rajabu Rutengwe. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A0610

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwanasiasa Mkongwe, Dr. Chrisant Mzindakaya...

 

9 years ago

Michuzi

LEAT WATOA MIZINGA 350 KWA VIKUNDI VYA UFUGAJI NYUKI

Sehemu ya mizinga hiyo iliyokabidhiwa.Afisa Utumishi, Allan Mwela akikabidhi moja ya mizinga kwa mwanachama wa kikundi cha wafuga nyuki kutoka kijiji cha Utosi kilichoko wilaya ya Mufindi Baadhi ya wafugaji nyuki wakisikiliza hotuba ya mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela. (picha na Denis Mlowe.Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesera akizungumza na wafugaji mara baada ya kukabidhi mizinga ya nyuki.Mkuu wa wilaya Richard Kasesela akikabidhi moja ya mizinga 175 kwa mfugaji nyuki kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AMEFUNGUA JENGO LA HUDUMA KWA WAGONJWA WA NJE (O.P.D) KWENYE KITUO CHA AFYA LUMUMA MPWAPWA LENYE THAMANI YA MIL.350

 Hafla ya ufunguzi wa jengo jipya la huduma kwa wagonjwa wa nje OPD kwenye kituo cha afya cha lumuma Mpwapwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki ilitanguliwa na ibada takatifu iliyoongozwa na makamu wa askofu kanisa katoliki dodoma padiri Chesco Msaga (wa pili kulia) kituo hiko cha afya kinamilikiwa na kanisa hilo kupitia shirika lake la watawa la Mt. Gema. Mkuu wa Mkoa Dodoma Dr Rehema Nchimbi akiwa amembeba mtoto aliyepewa jina la Rehema na mama yake kama ishara ya kumuenzi mkuu huyo wa Mkoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema watawanywa kwa mabomu kuwatawanya Chadema Kyerwa

Jeshi la Polisi wilayani hapa limetumia mabomu ya machozi kupambana na wafuasi wa Chadema waliotaka kufanya mkutano wa ndani.

 

10 years ago

Michuzi

Merceds Benz ML 350 inauzwa

 Merceds Benz ML 350 ya mwaka 2003 inauzwa.Rangi ni Silver, engine capacity ni 3720 cc, petrol, iko kwenye hali nzuri kabisa. Bei milioni 22 Tshs tuKwa mawasiliano zaidi  tafadhali tumia namba za simu :0767 484351 au 0779484351 Ubavuni Kwa mbele Ndani

 

11 years ago

Employment

350 former civil servants apply for re


Daily News
350 former civil servants apply for re-employment
Daily News
OVER 350 civil servants who resigned are now seeking re-employment in various public offices, the Minister of State in the President's Office (Public Service Management), Ms Celina Kombani, has said. Ms Kombani said this in a speech read on her behalf by ...

 

10 years ago

Habarileo

Shule za Biharamulo zapewa madawati 350

SHULE tano za msingi katika kata ya Kaniha wilayani Biharamulo mkoani Kagera, zimenufaika na msaada wa madawati 350 yenye thamani ya Sh milioni 17.5, yaliyotolewa na kampuni ya Stamigold inayoendesha mgodi wa Biharamulo.

 

11 years ago

TheCitizen

Some 350 scientists in Dar for major conference

The Vice President, Dr Ghalib Bilal, is scheduled to open a three-day conference of scientists in the city here aimed at discussing new public health challenges facing Africa, just a year before the expiration of the Millennium Development Goals (MDGs).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani