Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chama akosoa mfumo wa Stars

Mchezaji wa zamani wa Taifa Stars, Rashid Chama amesema kwamba tatizo kuu linaloikabili timu ya taifa ya Tanzania ni kukosa mfumo mzuri wa kuwaandaa wachezaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Profesa Mwandosya akosoa mfumo wa uchaguzi CCM

>Makada wa CCM wanaoendelea kusaka wadhamini mikoani wamekuwa wakitoa kauli tofauti, ikiwamo wito uliotolewa na Profesa Mark Mwandosya kuitaka CCM ibadili mfumo wake wa uchaguzi ili apatikane kwanza mwenyekiti wa chama hicho tawala, kabla ya mgombea urais.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumo unaiharibu Taifa Stars- Mrwanda

Mshambuliaji wa Polisi Morogoro, Danny Mrwanda amesema mfumo mbovu wa kuiandaa timu ya Taifa ndio unaigharimu timu hiyo hadi kufanya vibaya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania aiambia BBC kuwa mfumo wa afya haujaelemewa

Rais wa Chama cha Madaktari nchini Tanzania (MAT) Dkt Elisha Osati ameiambia BBC kuwa hospitali nchini humo zinaendelea na shughuli zake kama kawaida licha ya kuwa na janga la corona.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Salim akosoa utendaji ICC

KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Afrika (AU), Dk. Salim Ahmed Salim, amesema Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), imeonekana kuwa na mushkeli katika utekelezaji wake wa haki na...

 

10 years ago

Mwananchi

Snake Man afurahia ushindi, akosoa

Baba mzazi na kocha wa bondia Mohamed Matumla Junior, Rashid Matumla ‘Snake Man’ amesikitishwa na ushindi wa pointi aliopata mwanaye dhidi ya Mchina, Wang Xia Hua.

 

10 years ago

Mwananchi

Slaa akosoa uteuzi wakuu wa mkoa

Mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyotangazwa juzi na Rais Jakaya Kikwete yametajwa kuwa na malengo ya kisiasa, huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa akikosoa kitendo cha kuhamishwa vituo vya kazi wakuu hao sita ndani ya mwezi mmoja, kwamba ni gharama kwa Serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi

Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanasheria akosoa muundo Bunge la Katiba

>Mwanasheria maarufu, Profesa Chris Peter Maina ameuponda muundo wa Bunge la Katiba la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kushauri utizamwe upya kabla ya kufanyika kwa kura ya maoni mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbatia akosoa agizo ujenzi maabara

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema agizo la ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari nchini,halikufuata taratibu na ndiyo sababu Serikali kuu na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi) wanarushiana mpira juu ya agizo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani