Chama akosoa mfumo wa Stars
Mchezaji wa zamani wa Taifa Stars, Rashid Chama amesema kwamba tatizo kuu linaloikabili timu ya taifa ya Tanzania ni kukosa mfumo mzuri wa kuwaandaa wachezaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Profesa Mwandosya akosoa mfumo wa uchaguzi CCM
>Makada wa CCM wanaoendelea kusaka wadhamini mikoani wamekuwa wakitoa kauli tofauti, ikiwamo wito uliotolewa na Profesa Mark Mwandosya kuitaka CCM ibadili mfumo wake wa uchaguzi ili apatikane kwanza mwenyekiti wa chama hicho tawala, kabla ya mgombea urais.
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Mfumo unaiharibu Taifa Stars- Mrwanda
Mshambuliaji wa Polisi Morogoro, Danny Mrwanda amesema mfumo mbovu wa kuiandaa timu ya Taifa ndio unaigharimu timu hiyo hadi kufanya vibaya.
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya Corona: Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania aiambia BBC kuwa mfumo wa afya haujaelemewa
Rais wa Chama cha Madaktari nchini Tanzania (MAT) Dkt Elisha Osati ameiambia BBC kuwa hospitali nchini humo zinaendelea na shughuli zake kama kawaida licha ya kuwa na janga la corona.
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Dk. Salim akosoa utendaji ICC
KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Afrika (AU), Dk. Salim Ahmed Salim, amesema Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), imeonekana kuwa na mushkeli katika utekelezaji wake wa haki na...
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Snake Man afurahia ushindi, akosoa
Baba mzazi na kocha wa bondia Mohamed Matumla Junior, Rashid Matumla ‘Snake Man’ amesikitishwa na ushindi wa pointi aliopata mwanaye dhidi ya Mchina, Wang Xia Hua.
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Slaa akosoa uteuzi wakuu wa mkoa
Mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyotangazwa juzi na Rais Jakaya Kikwete yametajwa kuwa na malengo ya kisiasa, huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa akikosoa kitendo cha kuhamishwa vituo vya kazi wakuu hao sita ndani ya mwezi mmoja, kwamba ni gharama kwa Serikali.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Ebola:Annan akosoa mataifa ya Magharibi
Katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan amekosoa ambavyo mataifa ya magharibi yameshughulikia janga la Ebola.
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Mwanasheria akosoa muundo Bunge la Katiba
>Mwanasheria maarufu, Profesa Chris Peter Maina ameuponda muundo wa Bunge la Katiba la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kushauri utizamwe upya kabla ya kufanyika kwa kura ya maoni mwakani.
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Mbatia akosoa agizo ujenzi maabara
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema agizo la ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari nchini,halikufuata taratibu na ndiyo sababu Serikali kuu na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi) wanarushiana mpira juu ya agizo hilo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania