Chaneta wataka kocha kutoka nje
CHAMA cha Netiboli Tanzania (Chaneta) kimepokea kwa msisimko mkubwa hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu Serikali kutositisha kuwalipia makocha wa timu za taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea kwa...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Kocha Omog agomea kambi ya nje Azam FC
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Waandamanaji wataka marufuku ya kutokutoka nje iondoshwe Marekani kufungua uchumi
10 years ago
Vijimambo21 Jan
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia
11 years ago
CloudsFM25 Jun
KOCHA WA ITALIA AJIUZULU DAABA YA TIMU YAKE KUTUPWA NJE BRAZIL #Brazuka
uda mchache baada ya timu yake kuondolewa rasmi kwenye michuano ya kombe la dunia kwa kushindwa kufanya vyema katika mechi za makundi kwa mara ya pili mfululizo katika kombe la dunia, kocha Cesar Prandelli amefanya maamuzi magumu.Italia iliondolewa baada ya kufungwa kwa goli 1-0 na Uruguay katika mechi ya mwisho ya makundi.Baada ya mchezo Prandelli akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari alitangaza kujiuzulu kuifundisha timu hiyo.“Nilichagua mfumo fulani wa ukufunzi na ndio sababu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH3i5Ocy7-LwinW3kF-bTdxOt3wHsGgStgttaROKa7ZRkqPHU24wtzD3aTM4*RmAArS3dA6aljXcBhMKuIMisCVy/4nisha.jpg?width=650)
NISHA AZUIWA KUTOKA NJE
10 years ago
Uhuru Newspaper25 Mar
Kinana: Tusitegemee misaada kutoka nje
NA THEODOS MGOMBA, MOSHI.
WATANZANIA wameshauriwa kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kuwaletea maendeleo yao. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, alisema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Moshi Vijijini, katika Kata ya Arusha Chini.
Kinana alisema hakuna mataifa kutoka nje ambayo yako tayari kusaidia maenendeleo ya watu bila ya wao kujitahidi kuondokana na umasikini.Alisema tabia hiyo ya kutegemea misaada kutoka nje inawafanya...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Bidhaa kutoka nje zawatesa wakulima
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Urusi kuruhusu askari kutoka nje