Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHEGGE CHIGUNDA, HIZO SASA DHARAU!

SAIDI Chigunda ni mmoja kati ya wasanii wakubwa wanaotingisha anga la Bongo Fleva hivi sasa. Ingawa hayupo katika levo za kujidai sana, lakini ni kutokujua tu kunakoweza kukufanya umtoe katika kumi bora za wasanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini. Amepiga kazi nyingi sana zinazomfanya kuwa juu tangu alipojiunga na Kundi la TMK Wanaume Family, wakati huo watoto wa Temeke wakiwa kitu kimoja chini ya uongozi wa Said Fella...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Chegge Kutesa Katika Tamthilia

Staa wa muziki Chegge Chigunda ameweka wazi kuwa baada ya kuona ukubwa na mafanikio ya projekti ya filamu aliyofanya huko Nairobi, katika siku zijazo ataanza kuonekana katika Tamthilia ya Muendelezo ama Series ya kazi hiyo ambayo ilifanyika miaka kadhaa iliyopita.

Chegge ambaye hivi sasa anatamba katika chati mbali mbali kupitia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina 'Mwananyamala', ambaye ameeleza kuwa atatanguliza projekti ya awali ya kazi hiyo ambayo imekwishakamilika, anatarajiwa kuwa...

 

11 years ago

GPL

CHEGGE, TEMBA WAFUNIKA DAR LIVE USIKU HUU

Mashabiki wakifatilia show ya Temba na Chegge usiku huu Dar Live Chegge (kulia) akiendelea kuwapa burudani  mashabiki usiku huu Dar Live.…

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA KUWA NA DHARAU

Kama nilivyokwisha kuzungumza hapo juu, dharau si tabia nzuri kwa binadamu. Madhara ambayo mtu anaweza kuyapata kama atakuwa na tabia hii ni makubwa  na yanaweza kuathiri maisha yake kwa ujumla ukiachilia mbali uwezo wako wa fedha ulionao, umri wako na elimu uliyonayo. Binadamu ni watu wa matatizo kila siku, uwe na fedha ama elimu ya aina gani, lakini lazima utapata matatizo ambayo yatahitaji ushirikiano na msaada kwa njia...

 

9 years ago

Mtanzania

Harmonizer: Diamond hana dharau

DSC_0266NA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI wa ngoma ya ‘Aiyola’ Rajabu Abdulkhali maarufu kama Harmonizer amesema kuwa bosi wake Diamond Platnumz hana mashauzi na dharau kama wengi wanavyomfikiria.

Akibonga na Swaggaz juzi jijini Dar es Salaam, Harmonizer alisema kuwa tuhuma hizo zinatokana na namna nyota huyo wa wimbo wa Nana anavyojiweka, lakini ni mtu poa sana ndiyo maana alikubali kumsaidia na kumsimamia vyema kimuziki.

“Diamond angekuwa na dharau asingenisaidia kufika hapa nilipo, ni mtu poa sana,...

 

9 years ago

Bongo5

Video: G rico classic — Dharau

Video mpya ya msanii G Rico Classic wimbo unaitwa “Dharau”. Video imeongozwa na Kyonaboy Media Production Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya dola dharau kwa Tanzania

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita hapa nchini, shilingi ya Tanzania ilianza kupotea thamani yake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kukithiri kwa matumizi ya fedha za kigeni hususan Dola ya Marekani.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Tazama utani wa dharau ambao 50 Cent amemuonesha Diddy Instagram

Hakuna dalili ya kumalizika karibuni beef kati ya 50 Cent na P.Diddy ambayo imekuwepo kwa miaka mingi. Curtis James Jackson III a.k.a 50 Cent kwa mara nyingine amemchokoza mpizani wake Diddy, kwa kupost picha akiwa na mzee na kumkejeli kwa kuandika caption kana kwamba huyo mzee ndio Diddy. “Mimi na Puff tukiwa tumekaa leo alisema, […]

 

10 years ago

Michuzi

usafiri enzi hizo....

 Tiketi na bei ya nauli za jiji la Dar es salaam enzi hizo. Wenye data tunaomba kumbukumbu zenu. Mjadala ruksa mradi usichafue hali ya hewa....

 

11 years ago

Mwananchi

Watu njatanjata ilivyopagawisha enzi hizo

>Mwishoni mwa miaka ya 80, kulikuwa na bendi nyingi za muziki wa dansi, ambazo zilikuwa zikileta upinzani uliozaa burudani iliyokuwa inakonga nyonyo za mashabiki wa muziki huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani