Chegge Kutesa Katika Tamthilia
Staa wa muziki Chegge Chigunda ameweka wazi kuwa baada ya kuona ukubwa na mafanikio ya projekti ya filamu aliyofanya huko Nairobi, katika siku zijazo ataanza kuonekana katika Tamthilia ya Muendelezo ama Series ya kazi hiyo ambayo ilifanyika miaka kadhaa iliyopita.
Chegge ambaye hivi sasa anatamba katika chati mbali mbali kupitia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina 'Mwananyamala', ambaye ameeleza kuwa atatanguliza projekti ya awali ya kazi hiyo ambayo imekwishakamilika, anatarajiwa kuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2pAXcpwDmFg/VI_3pijdZDI/AAAAAAADSF8/Jrj5-OzvLXY/s72-c/TSCM%2Btangazo.jpg)
FURSA YA WADAU KATIKA SEKTA YA TAMTHILIA NA FILAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-2pAXcpwDmFg/VI_3pijdZDI/AAAAAAADSF8/Jrj5-OzvLXY/s1600/TSCM%2Btangazo.jpg)
Hii ni fursa ya wadau katika sekta ya tamthilia na filamu, wakiwemo watayarishaji chipukizi na wakongwe kuongeza ujuzi wao.
Mafunzo hayo ni ya muda mfupi. Baadhi ya vitu vitakavyo fundishwa ni pamoja na
SCRIPT WRITING - WIKI 4
Uandishi wa filamu, Screenplay au script ni kazi inayoandikwa na screenwriters kwa ajili ya filamu, video game, au vipindi vya televisheni.
VIDEO EDITING - WIKI 4
ni mchakato wa kuhariri picha tofauti za video ili kukamilisha simulizi. Pia uweka special effects na...
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Tamthilia inayoonyesha nguvu katika sekta ya sanaa ya maigizo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2ScM7xlmCSiiGHPER9TbehBpYCrAnlYKPAQ-j0kvWTPcSX5njSOifBqjVn1MP25-4OpeqTG2god5yeab9yFLnBC/MAMAWEMAh.jpg)
CHEGGE CHIGUNDA, HIZO SASA DHARAU!
11 years ago
GPLCHEGGE, TEMBA WAFUNIKA DAR LIVE USIKU HUU
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Mashoga wapinga Urais wa Kutesa UN
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M33tnOMnaeCBuNXPjzOb2RQ9pq7LNg5xu3BAo-yge7PitOXUMFSSouVw7eF69eTtyBMhHgQ8hFQSxbJUkuIc72aF/Mbaroni.jpg?width=650)
MBARONI KWA KUTESA MAHAUSIGELI
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Polisi wadaiwa kutesa watu Nigeria
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Toto yazidi kutesa ligi yao
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kipindupindu chaendelea kutesa jijini Dar
Muuguzi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Nusura Kessy (kushoto), akiwaelekeza wauguzi wa saidizi wake namna ya kuchanganya dawa maalumu ya kuondoa vijiji vinavyoweza kuwa vya ugonjwa wa kipindupindu katika kambi ya wagonjwa walioathiriwa na ugonjwa huo iliyopo Zahanati ya Mburahati Dar es Salaam leo asubuhi. Katika kambi hiyo kuna wagonjwa 21 kati yao watoto ni 7.
Vyombo vikiwekwa kwenye dawa.
Muuguzi Msaidi wa Zahanati ya Mburahati, Maimuna Pazi (kushoto) na Mlinzi wa Zahanati hiyo,...