Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADHARA YA KUWA NA DHARAU

Kama nilivyokwisha kuzungumza hapo juu, dharau si tabia nzuri kwa binadamu. Madhara ambayo mtu anaweza kuyapata kama atakuwa na tabia hii ni makubwa  na yanaweza kuathiri maisha yake kwa ujumla ukiachilia mbali uwezo wako wa fedha ulionao, umri wako na elimu uliyonayo. Binadamu ni watu wa matatizo kila siku, uwe na fedha ama elimu ya aina gani, lakini lazima utapata matatizo ambayo yatahitaji ushirikiano na msaada kwa njia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Harmonizer: Diamond hana dharau

DSC_0266NA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI wa ngoma ya ‘Aiyola’ Rajabu Abdulkhali maarufu kama Harmonizer amesema kuwa bosi wake Diamond Platnumz hana mashauzi na dharau kama wengi wanavyomfikiria.

Akibonga na Swaggaz juzi jijini Dar es Salaam, Harmonizer alisema kuwa tuhuma hizo zinatokana na namna nyota huyo wa wimbo wa Nana anavyojiweka, lakini ni mtu poa sana ndiyo maana alikubali kumsaidia na kumsimamia vyema kimuziki.

“Diamond angekuwa na dharau asingenisaidia kufika hapa nilipo, ni mtu poa sana,...

 

9 years ago

Bongo5

Video: G rico classic — Dharau

Video mpya ya msanii G Rico Classic wimbo unaitwa “Dharau”. Video imeongozwa na Kyonaboy Media Production Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

CHEGGE CHIGUNDA, HIZO SASA DHARAU!

SAIDI Chigunda ni mmoja kati ya wasanii wakubwa wanaotingisha anga la Bongo Fleva hivi sasa. Ingawa hayupo katika levo za kujidai sana, lakini ni kutokujua tu kunakoweza kukufanya umtoe katika kumi bora za wasanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini. Amepiga kazi nyingi sana zinazomfanya kuwa juu tangu alipojiunga na Kundi la TMK Wanaume Family, wakati huo watoto wa Temeke wakiwa kitu kimoja chini ya uongozi wa Said Fella...

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya dola dharau kwa Tanzania

Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita hapa nchini, shilingi ya Tanzania ilianza kupotea thamani yake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kukithiri kwa matumizi ya fedha za kigeni hususan Dola ya Marekani.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Tazama utani wa dharau ambao 50 Cent amemuonesha Diddy Instagram

Hakuna dalili ya kumalizika karibuni beef kati ya 50 Cent na P.Diddy ambayo imekuwepo kwa miaka mingi. Curtis James Jackson III a.k.a 50 Cent kwa mara nyingine amemchokoza mpizani wake Diddy, kwa kupost picha akiwa na mzee na kumkejeli kwa kuandika caption kana kwamba huyo mzee ndio Diddy. “Mimi na Puff tukiwa tumekaa leo alisema, […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madhara ya kuvuta sigara

KAMA unavuta sigara acha kuvuta, kama hujaanza usianze.  Kwanini uache na kwanini usianze? Ni kwa kuwa tafiti nyingi zimeonesha kuwa ukivuta sigara unajipunguzia miaka ya kuishi. Makala ya wiki iliyopita...

 

11 years ago

Habarileo

Madhara ya kuongeza maumbile

NAIBU Waziri wa Afya, Dk Kebwe Stephen amesema amesikia baadhi ya madhara yanayotokea kwa kutumia dawa za kuongeza maumbile, husababisha wanawake kuwa na makalio yenye ukubwa tofauti na maumbile ya wanaume huwa kama mkufu.

 

10 years ago

Vijimambo

MADHARA YA POMBE KIAFYA.

HAYA NI BAADHI TU YA MADHARA YA POMBE KIFYA.ACHA KUNYWA POMBE UIMARISHE AFYA YAKO.Pombe za aina zote zina kemikali ambazo baadhi ya hizo kemikali huwa ni sumu mwilini,hivyo kuacha athari ya kiafya kwa mtumiaji.Pombe inaweza ikamdhuru mtumiaji kwa kumsababishia madhara yafuatayo:
1.Vidonda vya tumbo.
2.Kansa ya utumbo.
3.Kusinyaa kwa Ini.
4.Kansa ya Ini.
5.Kansa ya umio(oesophagus)
6.Vindonda kwenye mapafu.
7.Utapiamlo hasa wale wanaokunywa huku lishe duni.
8.Matatizo ya ganzi miguuni na...

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2

Madawa ya kulevya aina ya bangi. WIKI iliyopita tulijadili kwa urefu madhara ya madawa ya kulevya kiafya.
Tulifafanua kwa urefu kuhusu madawa aina ya kokaine na heroine na tukataja madhara yanayowapata watumiaji wa mihadharati hiyo.
Leo tunaendelea kuchambua mimea aina ya bangi na mirungi ambayo hapa nchini inahesabika kuwa ni madawa ya kulevya. Bangi
Bangi ina madhara kiafya na ndiyo maana serikali imeupiga marufuku mmea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani