Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHEKA NOMA! AMPIGA MTHAILAND KWA TKO, AMTOA VIDAMU PUANI

Singwacha akiandaliwa na msaidizi wake dakika chache kabla ya pambano kuanza. Cheka akimtifua Mthailand. Pambano likiendelea.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BONDIA FRANCIS CHEKA ALIVYO MSAMBALATISHA MTHAILAND KWA T.K.O YA RAUNDI YA NANE

Bondia Francis Cheka kulia akipambana na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane Bondia Francis Cheka kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane Bondia Shabani Kaoneka kulia akimtupia konde la nguvu Zumba kukwe wakati wa mpambano wao...

 

10 years ago

Vijimambo

Kwa mara ya kwanza tangu atoke jela, Francis Cheka apima uzito kuzichapa na Mthailand kesho!


BONDIA Francis Cheka wa Tanzania na Kiatchai Singwancha kutoka Thailand wamepima uzito leo kwenye ukumbi wa Green Grill uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam tayari kwa pambano lao linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Masumbwi.Pambano hilo litapigwa kesho usiku kwenye ukumbi wa PTA Manispaa ya Temeke.
Cheka na Singwancha watazichapa kwenye pambano hilo la raundi 10 lisilo na ubingwa wowote, lakini ni mabondia hao wawili wanatafuta kulinda heshima. 
Singwancha alitua Dar jana...

 

10 years ago

GPL

CHEKA, MTHAILAND WAPIMWA UZITO

Promota wa pambano hilo, Kaike Siraju (katikati) akiwatambulisha mabondia hao mbele ya waandishi (hawapo pichani). Bondia Cheka akipima uzito. Mthailand, Kitschai Singwancha akipima uzito.…

 

10 years ago

Mtanzania

Cheka amtwanga Mthailand, kuzichapa na Muiran

NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka, juzi aliibuka kidedea kwa kumtwanga Mthailand, Kiatchai Singwancha kwa TKO (Technical Knock Out) raundi ya nane.
Mara baada ya ushindi huo, Cheka atapanda tena ulingoni mwishoni mwa Julai mwaka huu kupambana na Sajjad Mehrabi raia wa Iran.
Katika pambao hilo la raundi 10 (Kg 79) lililofanyika kwenye Ukumbi wa PTA Sabasaba, Cheka alimdhibiti mpinzani wake huyo ambaye aliumia mkono raundi ya nane na kushindwa...

 

11 years ago

GPL

MIYEYUSHO AGONGWA KO NA MTHAILAND, CHEKA HOI

Francis Cheka akitupiana makonde na bondia kutoka Iran, Gavad Zohrehvand. Cheka akimkabili Gavad. Mabondia hao…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cheka mbaroni, ampiga mtu baa

JESHI la Polisi mkoani hapa linamshikilia bingwa wa ngumi za kulipwa duniani, Francis Cheka ‘SMG’ kwa tuhuma za kumchapa Meneja wa baa ya Vijana Social Hall iliyopo Kata ya Sabasaba,...

 

11 years ago

GPL

MTOTO AUWAWA KWA KUFUNGWA PLASTA MDOMONI NA PUANI

Mtoto aliyekutwa amefariki baada ya kutupwa eneo la Kawe-Beach na kufungwa plasta mdomoni na puani.…

 

9 years ago

Mtanzania

Minaj amtoa kaka yake jela kwa milioni 200/-

Minaji na kaka yakeNEW YORK, MAREKANI

MKALI wa muziki wa hip hop nchini Marekani kutoka kundi la Young Money Records, Nick Minaj, amefanikiwa kumtoa kaka yake, Jelani Miraj, kifungoni baada ya kulipa dola 100,000 sawa na zaidi ya Sh milioni 200.

Jelani alipelekwa jela kutokana na kosa la kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12, ambapo alianza kukitumikia kifungo tangu Aprili mwaka huu, lakini msanii huyo alifanikiwa kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya kaka yake.

Nick amekuwa akifanya makubwa kwa kaka...

 

10 years ago

GPL

FIESTA 2014: KAMA NOMA NA IWE NOMA!

Stori:  Waandishi Wetu Kama noma na iwe noma! Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, wikiendi iliyopita lilifunga mitaa ya Jiji la Dar na viunga vyake ambapo burudani ya kufa mtu ilidondoshwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar na kugubikwa na matukio kibao nyuma ya pazia, likiwemo la msanii kutoka Nigeria, Davido ‘kupafomu’ pamoja na serikali kumkataza, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani