Chidi Benz apandishwa kizimbani leo…
Baada ya kukamatwa na polisi uwanja wa ndege wa Julius Nyerere , mwanamuziki , Chidi Benz leo amepandishwa katika mahakama ya Kisutu ambapo amesomewa mashtaka matatu yakiwamo Kukuta na madawa ya kulevya pamoja na vifaa vinavyotumika kutayarisha uvutaji wa madawa hayo , kusafirisha madawa ya kulevya na utumiaji wa madawa hayo.
Chidi Benz amerudishwa rumande hadi novemba 11 ambapo atapanda tena kizimbani.Baada ya tarehe hio ndio Chidi Benz anaweza kupatiwa dhamana ambapo atatakiwa kupeleka...
Vibe Magazine TZ
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU
10 years ago
Bongo511 Nov
‘Niombeeni’ — asema Chidi Benz, kupanda kizimbani leo
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A9uJIbBx6uY/VE-OUmDkYoI/AAAAAAAGtz4/uGipieSRuz8/s72-c/Chid%2BBeenz_full.jpg)
CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11
![](http://3.bp.blogspot.com/-A9uJIbBx6uY/VE-OUmDkYoI/AAAAAAAGtz4/uGipieSRuz8/s1600/Chid%2BBeenz_full.jpg)
Chid Benz amefikishwa mapema leo saa 3:00 asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashitaka yake. Saa 7:50 mchana alifikishwa mbele ya...
10 years ago
Bongo528 Oct
Chidi Benz apanda kizimbani, arejeshwa rumande hadi Nov 11
10 years ago
MichuziPROF. LIPUMBA APANDISHWA KIZIMBANI LEO
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
Wema Sepetu Afunguliwa Apandishwa Kizimbani Leo!!
Mwigizaji wa filamu za kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ anapandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar kujibu kesi ya kushambuliwa vijana wawili, Rashid Balazi na Juma Bushiri, wakazi wa jijini Dar, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Katika kujibu kesi hiyo, Madam Wema hatakuwa peke yake kwani mpambe wake, Petit Man naye anahusika katika kesi hiyo kwa kuwa ndiye mshtakiwa wa kwanza.
Hivi karibuni kabla Madam Wema hajasafiri kwenda nchini Ghana kufanya...
10 years ago
Michuzimtuhumiwa wa mauaji nchini uingereza apandishwa kizimbani mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam leo
10 years ago
CloudsFM07 Nov
CHIDI BENZ KUACHIA ALBUM YA PAMOJA NA FID Q
Tasnia ya muziki wa kizazi kipya sasa hivi inasubiria kwa hamu album ya pamoja ya wasanii wakubwa wa hip hop ndani ya Afrika Mashariki, album kati ya Chidi Benz na Fid Q.
Sasa hivi Chidi Benz ana zaidi ya wiki uraiani baada ya kukaa zaidi ya siku nne nyuma ya nondo, alisema kuwa bado hawajaanza kurekodi lakini muda si mrefu wataanza kurekodi na anaamini itakuwa ni bonge la albam mashabiki wakae tayari.
10 years ago
Bongo524 Oct
Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport